Kuna mambo wanasiasa huwa wanasema utafikiri huwa wanaambia mbuzi na sio watu mwanasiasa unawaambia watu kuwa utafuta kodi halafu mwisho wa kuongea hayo unaanzisha kodi nyingine mpya kabisa ya kuchangia kampeni.
Tundu Lissu anaponda serikali ya CCM kwa ukusanyaji kodi mwingi ili tuweze kujenga nchi sababu anaona ni kama unyonyaji, sasa ningependa kumuuliza kama anaamini bila michango ya wanachama wake hawezi kufanya kampeni kwanini anaamin bila kodi za Wananchi anaweza kuijenga nchi?
Sent from my JKM-LX1 using
JamiiForums mobile app