Kwa maoni yako unadhani walikwenda kumpa rais amri ya kutekeleza mara mojaNi jambo jema
Yuda Iskarioti angeendelea kusubiri labda Ukombozi ungechelewa sana
Yesu alisema " Baba ikiwezekana kikombe Hiki kiniepuke lakin si kama nitakavyo mimi bali Mapenzi yako yatimizwe. Roho I radhi lakin mwili ni Dhaifu"
Kanisa ni Moja tu nalo ndio Mwili wake Kristo πππKKKT ndo kanisa la kweli. Nimeshaona
Sasa kabla hajatoa majibu Kwanini kuna sheria zilianza kubadilishwa ili ziendane na mkatab ndo swali walilouliza so ni logic ndogo tu kuwa kule kuanza kubadlisha baadhi ya sheria kunaonyeaha kuwa ametupitlia mbali ushauri waokwani rais aliwambia anatoa majibu lini?
Kwa nini wao tu na si BAKWATA au KKKT? Wao nin nani kwa mfano?Wameshauri sana wakafungiwa milango,hadi kulileta kwa waumini ni baada ya kupuuzwa
Basi tusipigane porojo, hatuwei kusema hapa wamekataliwa wakati hatujuwi walichoongea.Yalikuwa mazungumzo baina yao na hakuna upande ulioweka wazi.
Wewe ni mpotoshaji mkuu!Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Bwashee tuwe tunawasiliana kuanzia leo ukienda pale KKKT Kimara kwa MastaiKanisa ni Moja tu nalo ndio Mwili wake Kristo πππ
Madhehebu Yote yamekumbatiwa na Yesu mwenyewe!
Kutekeleza nini?Kwa maoni yako unadhani walikwenda kumpa rais amri ya kutekeleza mara moja
Umedanganywa ukadanganyika.Sasa kabla hajatoa majibu Kwanini kuna sheria zilianza kubadilishwa ili ziendane na mkatab ndo swali walilouliza so ni logic ndogo tu kuwa kule kuanza kubadlisha baadhi ya sheria kunaonyeaha kuwa ametupitlia mbali ushauri wao
Kwa hiyo?Sasa kabla hajatoa majibu Kwanini kuna sheria zilianza kubadilishwa ili ziendane na mkatab ndo swali walilouliza so ni logic ndogo tu kuwa kule kuanza kubadlisha baadhi ya sheria kunaonyeaha kuwa ametupitlia mbali ushauri wao
Kwahiyo Shoo hajachanganya Dini na saisa?ππJe TEC wamekosa subira?
Mmekwamaaaaa.......uhainiiiiUmedanganywa ukadanganyika.
Sheria ipi imebadilishwa iendane na mkataba? Mkataba upi unauongelea?
Nisaidie kusoma Al Hassan Hadith 16245Ushauri wao ulikuwa ni upi?
sio kweliHili ndo kanisa sasa. Ndo mana sikuwaskia Maaskofu wao kwenye escrow!