Mpaka TEC wametoka front ujue hakuna kinachofanyiwa kazi, zaidi sana Shera zinabadilishwa hao mabwana wavune kiulani, mkataba wenyewe hata kutoka hadharani umetoka kimagumashi, hapakuwa na nia njema tangu mwanzo.
 
Kwahiyo TEC ni wanafiki tu au?
 
Kipindi cha pili jamaa wanajifunga wenyewe hapa katika uwanja wa uhuru, moja moja sasa, mtanange ni mkali sana hapa katika dimba la uwanja wa uhuru, kwako mwalimu kashasha😁😁
 
Umedanganywa ukadanganyika.

Sheria ipi imebadilishwa iendane na mkataba? Mkataba upi unauongelea?
Naongelea IGA na Sio HGA halafu kwa taarifa yako ni vigumu saa mimi kudanganyika na upande wwote kwa sabbu sisimmi na upande wowote ule ila naangalia Logic na facts....Tatizo umeweka mihemko sana huwezi kuona facts kuna sheria ya maliasiri,Sheria za TPA na sheria za ardhi Tatizo lako hujui kitu halafu unabishana na hiyo ndo tofauti yangu na wewe
 
Umechagua ku quote tu sehemu yako unayoona inakupendeza kudanganya umma ila Shoo hajasema hayo. Kasema maoni yao kama dini zote, waliyafikisha kwa pamoja wakiwa na viongozi wote wa CCT, TEC na BAKWATA kwenye mkutano binafsi na Mh Rais, na yeye anaamini Mh Rais atayafanyia kazi, na kama hatayafanyia kazi, basi asije akasema dini inaletwa kwenye siasa wakianza kutoa maoni mengine. Msipende kupotosha umma, mambo ya hovyo sana mnafanya.
 
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.


Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Acha kupotosha watu, tuko live tunasikiliza alafu unaweka maneno yako.
 
Kwa utaratibu Dr hawezi mchallenge namba 1 uso uso protocal tu hapo zimefatwa
 
Haya maneno FaizaFoxy ameyasikia kweli
 
Kipindi cha pili jamaa wanajifunga wenyewe hapa katika uwanja wa uhuru, moja moja sasa, mtanange ni mkali sana hapa katika dimba la uwanja wa uhuru, kwako mwalimu kashasha😁😁
😅😅😅😅Ngoja washikake kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…