Yaani mtahaha sana..!! Tamko la TEC limewapiga na kitu kizito kiasi cha kuwaletea MUHAHO
Sina uhakika kama hili tamko lao nilakwanza kulitoa, matamko Yao hayana jino hata moja, kibogoyo kwakuwa inafahamika kuwa ni maoni TU ya watu wachache waliogusiwa maslahi yao binafsi. Kwakuwa hata kwenye serikali na bunge wamo wakatoliki wengi TU walioshiriki kwenye uwandishi wa mkataba wa bandari.
 
Wewe unaesema mkataba hovyo,,,, hujui kama unajichelewesha,,,, Mnaojifanya mnauwezo mkubwa wa kufikiri na kutambua mkataba usipite,, HAPA MNATUCHELEWESHA
 
Jikite kwenye mkataba na msingi wa kisheria mkuu. Huenda una hoja lakini hujagusa kiini. Hii maana yake ni kwamba pengine una akili ndogo au una makusudi ndani yake. Prove me wrong kwa kuongelea ubora wa mkataba huo kisheria
 
MAASKOFU KATOLIKI walikuwepo Kabla ya MASHEHE. Hivyo hawakuanzisha UASKOFU ili kuangalia upepo wa MASHEHE unaendaje.( Rejea: Ukristo umeanzishwa mwaka 33AD, Uislamu umeanzishwa mwaka 622AD).
 
Tena na JPM alishasema muhimili wake ndo umeenda mbali sana. Jiulize, nani anateuwa jaji?
Bahati nzuri Katiba hii iliandikwa na Mwl Nyerere na Pius Msekwa, sio ya Rais Samia. Badala ya lawama kwenda kwa watu hao na CCM hasira na mbwbwe zinaelekezwa kwa Samia.
 
makuwadi ya warabu fateni ushaur wa mabwana zenu warabu koko wa dubai.
 
Uilindr Katiba ganii ambayo Inavunjwaaaaa kijingaa tuu????
 
Hawana elimu kabisaπŸ˜…πŸ˜…hata walikuw hawajui kwamba TICTS alikuwa pale.

Elimu za kupewa baada ya kusujudia wazungu ndo tatizo..
Wametia aibu sana maaskofu wangu, wamefanya siasa katika awamu ya rais mpole na msikivu sana.

Kwa ujumla wakatoliki tumechemka vibaya kwenye huu waraka, SSH amesimamia matibabu ya Lissu pamoja na kwenda Nairobi alipokuwa amepatwa na matatizo, sio kiongozi wa kumfanyia hivi walivyomfanyia.
 
Waraka haujamuongelea Rais Bali mkataba,, usitafute pa kujifichia.
 
Nchi ni ya wananchi ambao pia wapo makanisani na misikiti, ukiachana na wasio na Dini ambao ni asilimia ndogo sana, kwa mantiki hii wawezaje uliza swali la kipumbavu kama hili, pumbavu
 
kanisa katoliki ndio la kwanza ulimwenguni kuleta elimu unayoijua wewe leo, na kuwaonyesha kuwa hawajui, kuna wataalamu zaidi yako wanaojua ports service, na viujinga vyako ilivyovieleza
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Yaani wewe ndio ulifundishe Kanisa Moja Takatifu La Mitume lililowasomesha akina alhaj Prof Lipumba na Assad?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wajumbe wa Kanisa moja Takatuifu la mitume ndio hawa

leo tarehe 20 Agosti 2023

TUJIKUMBUSHE UFISADI WA KANISA NA MAASKOFU NA WACHUNGAJI



WEDNESDAY, NOVEMBER 26, 2014

HAYA NDIO MAJINA YA MAFISADI WALIOKULA FEDHA ZA ESCROW

Mh Zitto Kabwe akisoma ripoti ya ESCROW Bungeni jioni ya leo

HAYA NDIO MAJINA YA WALIOKULA FEDHA ZA AKAUNTI YA ESCROW KATIKA RIPOTI YA PAC INAYOSOMWA SASA BUNGENI.




Zitto:

Upande wa viongozi wa kisiasa ambao waliingiziwa fedha katika akaunti zao binafsi ni;

1. Mhe.
Andrew Chenge (Mb)
Zitto: Andrew Chenge aliingiziwa shilingi bilioni 1.6.


2. Mhe. Anna Tibaijuka (Mb) na Waziri wa 62
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi shilingi bilioni 1.6.


3. Mhe.William Ngeleja (Mb) na ambaye alikuwa Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4


4. Ndg. Daniel N. Yona ambaye alikuwa pia Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4.


5. Ndg. Paul Kimiti ambaye ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Sumbawanga
alipewa shilingi milioni 40.4

6. Dr. Enos S. Bukuku ambaye alikuwa Mjumbe wa Bodi ya TANESCO aliingiziwa shilingi milioni 161.7.


Zitto : Upande wa Majaji Prof.


7. Eudes Ruhangisa, aliingiziwa milioni 404.25 na

8. J.A.K Mujulizi aliingiziwa shilingi milioni 40.4


Zitto: kwa upande wa Watumishi wa umma

9.,Ndg. Philip Saliboko ambaye alikuwa mtumishi wa RITA aliingiziwa
shilingi milioni 40.4

10 Ndg. Emmanuel Daniel Ole Naiko ambaye
alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa (TIC) aliingiziwa shilingi milioni 40.4

11. Ndg. Lucy L. Appollo ambaye ni Mtumishi wa TRA aliingiziwa shilingi milioni 80.8.


Zitto:

Viongozi wa Madhehebu
yaDini

walioingiziwa fedha na Benki ya Mkombozi ni Askofu 63

12.Methodius Kilaini shilingi 80.9


13. Askofu Eusebius Nzigirwa shilingi milioni 40.4 na

14. Mchungaji Alphonce Twimann Ye Simon shilingi milioni 40.4.



Zitto: Watu walienda kugawana fedha kwenye Benki tajwa wakiwa na mifuko ya rambo, sandarusi,
mabox, magunia na lumbesa TegetaEscrow
Zitto: Bilioni 73.5
zilitolewa na kugawanywa kwa watu mbalimbali kinyume cha
Sheria ya Benki Kuu na Taasisi za Fedha ya 2006
Zitto: Taarifa
ya benki (bank statements) yenye majina na akaunti zote
zilizoingiziwa fedha zimeambatishwa
 
Waraka haujamuongelea Rais Bali mkataba,, usitafute pa kujifichia.
Mkataba walisaini kuukubali siku ile walipopewa ufafanuzi kule Kurasini, cha ajabu ni hii hatua waliyoifanya hivi karibuni.

Mkataba umetolewa ufafanuzi zaidi ya mara elfu moja na wameelezwa ni kwanini uliandikwa hivyo.
 
Mlimuuliza Mwananchi Gani kabla ya kusaini dude Hilo Fake na BATILI?

KATIBA ipi imeruhusu mbunge asiye na chama kuendelea kuwepo bungeni?

Mkataba huo fake unavunja Katiba ya nchi, hiyo kama unasimama na Katiba lazima upinge mkataba huo!!
 
kanisa katoliki ndio la kwanza ulimwenguni kuleta elimu unayoijua wewe leo, na kuwaonyesha kuwa hawajui, kuna wataalamu zaidi yako wanaojua ports service, na viujinga vyako ilivyovieleza
Kama elimu ilianzia kanisani inakuwaje wanaelimishwa mara elfu moja juu ya mkataba na bado wanakuja kuwapotosha waumini leo hii makanisani?.
 
Nakushaur tu jambo.. jaribu kutafuta CV ya kila askofu angalau kwa uchache tu nadhan utarud hapa na kubadili msimamo wako!! Wale jamaa wana elimu ya vyuo vikuu faculty tofaut tofaut!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…