Habarini wakuu! Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa dp world hatuitaki, kwa kuwa tiyari wameonyesha nia ovu kwenye mkataba, kivyovyote vile hatutawakubalia kuwekeza kwetu, watafute kwingine
Huyu siyo mwekezaji, huyu ni mkoloni mpya.
Hatutaki kutawaliwa tena kwa njia yoyote ile.
 
Tutajie kampuni mbadala ambayo itaweza kufanya kazi kwa ufanisi zaidi ukitupa na analysis ya benefits tutakazopata kwa comparison kati ya hiyo yako na DP ili twende sawa usiwe kama watoa matamko wengine.
Hiyo 'analysis' ya ufanisi wa DP World uliutoa hapa lini ili nasi tuuone?
Unaamini ni DP World tu ndio wanaofanya kazi za Bandari kwa ufanisi duniani kote? Hii akili ni ya wapi hii?
 
[emoji15][emoji1787][emoji1787]

.... maandamano yataanzia wapi ?!!

Kwani yale ya Ubungo yaliyeyuka hivihivi pamoja na kamarada Boniphace Jacob kusema atayaongoza [emoji1787]
Umesoma wapi habari ya maandamano. Unazo akili za kutosha kweli kwenye hilo bksi unalobeba juu ya mabega yako?
 
Mkataba hauna kikomo hayo maoni ilitakiwa wakusanye kwa wananchi na wabunge kabla haujapelekwa bungeni TEC wanahaki kuukataa
 
walifabyia wapi huo utafiti na kubaini hiyo sauti ya wengi? aidha kwenye dini hakuna sauti ya wengi ila
Mungu amesema.
 
Habarini wakuu! Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa dp world hatuitaki, kwa kuwa tiyari wameonyesha nia ovu kwenye mkataba, kivyovyote vile hatutawakubalia kuwekeza kwetu, watafute kwingine
Ingawa sisapoti aina ya mkataba but kuwaona DP world ndio wabaya sio sawa!! Wabaya ni viongoz wetu waliokubali aina hiyo ya mkataba, hakuna muwekezaji anaekuja kukushikia Beretta ili usaini kwa nguvu!! Tatizo ni viongoz wetu.
 
Habarini wakuu! Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa dp world hatuitaki, kwa kuwa tiyari wameonyesha nia ovu kwenye mkataba, kivyovyote vile hatutawakubalia kuwekeza kwetu, watafute kwingine
Mkuu watakuambia wewe ni m-dini. Hoja hii haikwepeki, DP World ni matapeli na viongozi wetu wameingia kichwa kichwa. Hawajachelewa, ni ama warekebishe huo mkataba au wausitishe mazima. Period.
 
Ovyo kabisa!,
Dp world for bright future of Tanzania.
Akili zako zimejaaa Urojo tuu. Kwakuwa umeskia DP WORLD watakupeni msaada wa Baraghashia, Kanzu, Tende na Nyama ya Ngamia baaaaasi akili zote umezielekeza kibra hapo kilichobaki kichwani makamasi yaliyojaaa UTI
 
Habarini wakuu! Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa dp world hatuitaki, kwa kuwa tiyari wameonyesha nia ovu kwenye mkataba, kivyovyote vile hatutawakubalia kuwekeza kwetu, watafute kwingine
Pamoja na hayo kwanini watumie nguvu kubwa ili huo mkataba upite? Hayo mabilioni yanayotumika kuwatetea yanarudije?
 
Deal gani?
TPA wanaendesha bandari zote tz tena ni watz wazalendo, Kwa mwezi wanaingiza bilioni 700 Ila wanajiendesha Kwa bilioni 600, tict kakodishwa gati moja Tu pale dar lkn Kwa mwezi analeta bilioni 300 hapo tayari keshatoa matumizi yake. Sasa anakuja DP world Kwa kuanzia magari machache ya bandari ya dar pekee Kwa mwaka ataleta tilioni 26 cash hapo keshatoa matumizi yake, nambie ni mtu gani mwenye akili timamu atakataa hili dili? Ni chizi pekee ndo atakataa hili dili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…