Hizi taarifa umezisoma wapi??
 
Wewe bado unaleta uongo za kina mbarawa wenzako tulishatonywa zamani sana
 
Mende mmetoka wa kutosha. Shida hamjadili hoja mnamjadili mtoa hoja.
 
unapambana kumuelewewesha kichaa , unapoteza muda wako ,hawa watu ndo alshabab uwapeleka ahelaaa , maana mtu ataki kutafuta mkataba na kuusoma ila anataka kushabilia mkataba bila kujua kilichomo ndani yake
 
Tutajie kampuni mbadala ambayo itaweza kufanya kazi kwa ufanisi zaidi ukitupa na analysis ya benefits tutakazopata kwa comparison kati ya hiyo yako na DP ili twende sawa usiwe kama watoa matamko wengine.
Sisi wenyewe tunaweza, sio lazima tuishi kwa kuwategemea wageni
 
Kafichua uhuni wa kanisa la roma kumbe walisha Kutana na raisi ikulu sasa leo mbona wajipaka uchafu
na rais akapewa maoni , ambapo maoni mengine ktk wakara wa maaskofu tumeyaona hata Wakina Mbowe , Mwabukusi , Lissu etc waliyasema , mf je rais alihitaj wasomi gani kuelewa hiyo article ya 23 kifingu cha 1 kimekaa kihuni na hakuna duration ya hivyo , kwahiyo mama haelew kwenye duration ilibid iwekwe muda maalumu km Afrika kusini dhidi ya Ufilipino? Huyu rais tumepigwa
 
Chawa jobuni
 
Mkataba hauna kikomo hayo maoni ilitakiwa wakusanye kwa wananchi na wabunge kabla haujapelekwa bungeni TEC wanahaki kuukataa
hawa waislam muwambie waje niwape mkataba na kama hawaelew lugha basi mm nitawasomea na kuwatafsiria kbs ktk audio ili kila mtz auelewe vilivyo
 
Umeandika Mengi sana Mh. Ila umetamka saana TEC TEC japo ungejibu ata kifungu kimoja cha katiba au ata kifungu kimoja cha Mkataba walichoquote , uzi wako ungelileta maana. Tena Watanzania sielewi hii ni nini au ni ugonjwaambao umetokea wapi, Hivi kwa nini sasa hivi imekuwa kama ni utamaduni wa Kuacha Oja ya mtu na Badala yake tunashambulia personalities. Bora ushambulie mapungufu ya oja ukishindwa kijibu badala ya kujengaoja ambazo Zinajielekeza kwenye mtoa mada au aliesema au taasisi badala ya Kujibu oja. Tuiombee Tanzania yetu na Rais wetu.
 
Lakini ndugu mleta hoja ni kweli umeelewa kitu chochote kwenye hayo madhehebu mawili? Yaani kama hujapata kitu kutoka kwa Askofu Shoo ukaona Yuko tofauti na TEC basi ulifeli shule na kama kwenye makaratasi umefaulu walaaniwe waliokupa huo ufaulu
 
Shetani anaingia taratibuuu,hii nchi sijui mnataka nini,wameenda mahakamani mmewatengenezea zengwe,kanisa nimesema bado pia shida.Wananchi wanalalama bado pia shida.Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.Endeleeni kushupanza shingo
Mpk ss Samiah angekuwa kabadili msimamo kama kwel hakuna rushwa hapa , kama walimfuata hadi ikulu , na bado hali ni ile hata bunge lililubuniwa kupitisha huu mkataba , bado sisi wabantu tuna akili za kitumwa , angalia wasomali na wadjibout wametuzid akili wamepitia mkataba huu wamegundua ni bomu wamejipanga mapena kuuzuia usifanye kaz nchini mwao , ila hawa waislam wa kibantu ndo akili zao zinawaza uislanm kumbe waarabu wanafuata maliasili kwa ajili ya nchi yao na wanafungua njia kwanza ya bandari ambapo wakiiba lolote pale bandarin hakuna wa kuwahoji
 
Nilivyomuelewa mtoa mada ni hivi! JOHN,PAUL& MOHAMED wamekaa kikao wakajadiliana inabidi twende kwa DadaASHA tukatoe mawazo yetu na ushauri kuhusu biashara ya BAJAJI ambayo ASHA tumempa mamlaka aisimamje au sio?

Wakachukuana haooo watatu hadi kwa Dada ASHA wakapokelewa wakasikilizwaaa ushauri wao maoni yao mashaka yao na yote waliyoona yanafaa kumwambia huyo Dada ASHA wakiwa wote watu.

Dada ASHA kawasikiliza hadi mwisho wa mazungumzo wakiwa wote wanne yani JOHN,PAUL, MOHAMED na Dada ASHA mshauriwa,jibu la Dada ASHA kawaambia kaka zangu eeeh nimewasikia yote mliyoyaongea na kunishauri kwenye biashara yetu ya BAJAJI ila niwaombe kaka zangu mimi sio mzoefu wa hii biashara naomba nikutane na wataalam niwapelekee haya mawazo,ushauri na mashaka yenu kaka zangu baada ya hapo nitawaita kuwaambia tulipofikia au sio kaka zangu

Baada ya siku chache kupita kabla ya kuitwa na dada yao ASHA kuambiwa majibu aliyopewa na wataalam wa kuuza BAJAJI,akatokea PAUL akaenda kwa rafiki zake wengine kabisa sio wale alioenda nao kwenye mazungumzo,akaanza hii biashara ya BAJAJI sitaki ifanyike mnunuzi mwenyewe samjo tu

ASHA kabaki kuduwaa huyu kaka si alikuja na wenzie kunishauri jinsi ya kufanya hii biashara! sasa mbona kabla sijawaita wote watatu kuwaambia wataalam wamesemaje anaanza kuropoka mtaani,kwanini kama wamebadilika kwenye ule ushauri maoni na mashaka yao wasiwe wote watatu yupo bro PAUL peke yake?

Je huyu bro PAUL tumuweke kundi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…