Mungu alitupa akili bure ili tuzitumie kwa ufanisi kwa faida yetu na vizazi vyetu vijavyo. Sauti yetu wengi, tukiongozwa na fikra/ akili nzuri zenye mantiki katika kweli ndiyo uwakilishi halisi wa Mungu katika maisha yetu.
Historia ambayo haitastawisha uhuru wa vizazi vyetu na uchumi wa taifa kwa ujumla haina maana yoyote.
 
Hii takataka umeandika, husemi wanapata maslahi gani, with evidence, alafu eti sijui pesa za rushwa zile alipewa kilaini i guess, angejuaje? alafu ata hao masheikh na maaskofu wengine mbona wana waumini mafisadi na wanapokea sadaka? TEC haijaongelea mambo ya uislam na waislam, nyie mnachowashwa nini?
 
Wakati chakula kinaelekea mezani kikiwa kimeshapikwa, kama uliahidiwa maoni yako kuhusu namna ya kukipika yatazingatiwa,. halafu chakula kikaonekana mezani ukagundua kuwa maoni yako hayakuzingatiwa ujue maoni yako yamatupwa kapunik!! Bunge lilishapitisha tayari mkataba.

Kwa sasa inaelekea kwenye utekalezaji!! Ni mjinga tu anayedhani katika hatua hii kuna maoni ya kuzingatiwa! Naona umetoa na namba yako ya simu kabisa ili mama akujue!! Pole!!
 
Hilo jambo linazungumzika kuliko waraka ambao lengo lake ni kuwagawa wananchi ili wasiwe na imani na serikali,huo ni uasi dhidi ya serikali
Hivi ni kwann mtu akisapoti mkataba huo anaonekana yupo sahihi lkn mtu anaeukosoa huo mkataba anaonekana muasi? Kwan viongoz hawafanyi makosa? Tena ukiangalia kuna makosa mengi yamefanyika kweny mikataba mingi!! Hebu tuache zama za kijima tuamke yale mazuri yenye maslahi kwa Taifa tuyasapoti yale yasiyo na maslahi kwa Taifa tuyakatae!!!
 
Hujui unachoongelea ndio maana umeandika huu utumbo. Vox Populi Vox Dei.
 
TEC wamewabana Sana. Wao wameongelea mkataba na vifungu vyake ila nyie mnakuja na ngonjera. Halafu imeweka namba za Nini?
 
Umelipwa kiasi gani na CCM kuandika waraka mrefu kushinda walioandika balaza la maaskofu? Nyie umbwa si mbinafsishe kisiwa cha Zanzibar au TANESCO kuliko bandari
 
Nondo zimeshiba hao wazee wa escrow wasipokuelewa hawataelewa tena
 
Ujumbe maridhawa
 
Umefuka Moshi wa kuni mbichi
 
Kweli hii nchi ngumu sana😂, bora nikae kimya maana unatarajia kukutana na nondo zilizoshiba na badala yake unakutana na michambo na kuzodoana bila content yoyote

Halafu pia, hizi namba za simu za nini? Ndio miamala au pongezi na teuzi??
 
Mkuu umejiridhisha hili kombora umelielekeza Kwa walengwa?

Kulikoni kunirushia miye maamuma usionihusu?

Ninasimama na TEC, Je wewe?

Sorry kiongozi nimeelekeza kwako kimakosa, nimemruka mlengwa
 
Kabla ya kusoma uzi wako huu naomba tu kukuhabarisha mwandishi kuwa,
'Sometimes there’s nothing worse than the truth. It can be harder and sharper and hurt more than a knife. The truth can clear a room faster than tear gas.' by Richard Kadrey
Inabidi tu muupokee,kujaribu kumshambulia Fr Kitima haishangazi na wala yeye hawez shangaa kwasabab anajua lazima mtajibu personally.Kumbukeni tu kuwa yeye hayuko responsible na jinsi mtakavyo'respond',yeye katimiza wajibu wake wa kusema ukweli na ninyi timizeni ahadi yenu ya mwanachama wa ccm ya kusema uongo daima
 
(iii) Kwamba, Mheshimiwa Rais ameyapokea maoni na ushauri uliotolewa na viongozi wa dini na amewapa wataalamu kuchakata maoni na ushauri huo ndiyo maana amekaa kimya akisubiri wataalamu wamalize wampe mapendekezo awaite viongozi wa dini awape mrejesho..




Naendelea kugundua Vijana wajinga wenye matope kichwan kama wee mtoa mada.

Unakielewa ulichoandika??.
 
Ni ajabu kidogo.Kwa hiyo wewe unataka serikali ifanye mambo ya hovyo halafu viongozi wa Dini wanyamaze wasiwatee wananchi au waumini wao,wakiwatetea wameingilia siasa!Na ipi ni demarcation line kati ya siasa na Dini.Unajua,huu ni upimbi.Dawa ya kuepuka yote haya ni serikali kufanya kazi iliyotumwa na wananchi.Wananchi walikataa kitu waache kukifanya,nani atawalaumu,si wananchi wenyewe wamekataa.....!Tatizo ni kwamba watawala wanafanya mambo kwa maslahi yao.TEC wapo sahihi 100%.Wewe umetumwa si bure.Waliokutuma uandike huu upuuzi waambie wananchi hatudanyiki tena.

Halafu wewe nikupe angalizo,mapambano haya huyawezi,hivi unawafahamu Wakatoliki wewe?Unawafahamu Jesuits wewe.Unaifahamu Vatican wewe.Usije ukafikiri unapambana na Wakatoliki wa Tanzania wewe,unapambana na maamuzi ya Vatican.Hebu cheki chini👇

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…