Wanasemaga too much is harmful, ndivyo ilivyo kwa ushiriki wa mama ktk michezo.

Mwanzoni ilikuwa nzuri, kwa kuonekana mama anapenda michezo na anatoa support.

Ila sasa hivi limekaa kisiasa zaidi, halivutii tena!
Nimekuja kugundua kweli wanawake hawapendani?
 
Wanasemaga too much is harmful, ndivyo ilivyo kwa ushiriki wa mama ktk michezo.

Mwanzoni ilikuwa nzuri, kwa kuonekana mama anapenda michezo na anatoa support.

Ila sasa hivi limekaa kisiasa zaidi, halivutii tena!
Anapenda mpira km Mwinyi
 
JEZI YA TIMU YA TAIFA NDIO HII. HIZO NYINGINE SISIZO NA BENDERA YA TAIFA WALA NENO TANZANIA 🇹🇿 SIZITAMBUI
 
Mwanayanga acha woga

Mpira ni mpira watu waache kupigania taifa kisa club😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…