Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Kwa hiyo hata wewe john7371 ninaongea na zombie na sio mtu au binadamu anayeishi?

Maana umekazania kukataa kwamba Erythrocyte sio mfuasi wenu,ilhali kila mtu humu analiona na kulitambua hilo!
Probably Yes.

Nakubaliana na wewe voicer.

Sisi ambapo hatujulikani ni binadamu au mazombie, Juma au Asha tumenyimwa verified 😆 😆 😆 . Na kuna mambo haturuhusiwi hata kuyafanya, ambayo binadamu wa kawaida anaweza.
 
Probably Yes.

Nakubaliana na wewe voicer.

Sisi ambapo hatujulikani ni binadamu au mazombie, Juma au Asha tumenyimwa verified [emoji38] [emoji38] [emoji38] . Na kuna mambo haturuhusiwi hata kuyafanya, ambayo binadamu wa kawaida anaweza.
Pita kushoto Zombie!
 
Kwa hiyo hata wewe john7371 ninaongea na zombie na sio mtu au binadamu anayeishi?

Maana umekazania kukataa kwamba Erythrocyte sio mfuasi wenu,ilhali kila mtu humu analiona na kulitambua hilo!
Hata hoja yako tukisema tuikubali, basi maana yake serikali inapaswa kuwa imehusika kalyinda kwa sababu kuna mtu aliyekuwa anapost shughuli za serikali ndo kawashawishi watu kuingia humo kwenye upatu, kitu ambacho si sahihi kuihusisha serikali na personal issues.
 
Hamna kitu Boss, ni kutaka ufahari usio na sababu yoyote. Kwangu mimi najua heshima halisi inatokana na kuingia madarakani kwa kuheshimu uchaguzi. Lakini kwa zile chaguzi za kihayawani sijui wanataka ufahari wa nini.
Well, kila mtu ana mtizamo wake katika hilo jambo !
 
Lini na wapi wapinzani wamejadili kiti cha Rais kanisani? Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe si bure
 
Usinitowe kwenye mada kwa kunipeleka kalynda.....

Hoja yangu inabaki paleoale kuporomoka kisera hadi kufikia kubomoka kabisa!
 
Msinotowe kwenye mada yangu......

Mada yangu ni kuporomoka na hatimae kubomoka kabisa kwa upinzani kisera!
 

Uko sahihi sana, lakini mamlaka zinazopaswa kuheshimiwa ni zile zinazoingia madarakani kwa njia halali. Kwa uchaguzi ule wa 2020 ni ngumu baadhi ya watu kutoa heshima kwa hizo mamlaka za juu.

Mimi kwa mtazamo wangu sikuona umuhimu wowote wa rais kutumia kiti chake binafsi ndani ya kanisa kwani ni kujipa ukuu asiostahili, hasa ukizingatia namna yeye na chama chake walivyoingia madarakani.

Halafu hili neno kupinga kila kitu naona linatumika ndivyo sivyo, na sababu hasa ni kurudiwarudiwa kila mara. Sijawahi kuona watu wanapinga ujenzi wa shule, barabara, huduma za maji nk. Ama huenda hizo shule, barabara nk sio sehemu ya kila kitu.
 
GENTAMYCINE nikiwa kama Mkristo tena wa Dhehebu Mama na Kubwa duniani la Katoliki sijaona Kosa lolote kwa Rais Samia kuingia Jana Kanisani na Kitu.
Exactly watu wanajadili mambo yasiyo na maana hakuna kitu kibaya kilichofanyika wanashindwa kujadili maendeleo yanayomgusa direct mwananchi
 
Kila binadamu na Priorities zake... Sisi zetu ni kitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…