Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Kuna watu wazima kama wewe huwa wanajisahau wananiamkia shikamoo🤣Unamtisha nani dogo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wazima kama wewe huwa wanajisahau wananiamkia shikamoo🤣Unamtisha nani dogo🤣🤣🤣
We dada zako si wamezaa hapo kwenu?Singo maza ni zao la kupenda ngono na kuendekeza Uzinzi tu
Singo maza wa kuonewa Huruma wapo lakini hawazidi 2%
Mimi nakupa pesa mamaa, kilainishi cha moyo, nakuandaa kwa pesa, utapenda tu🥰Leo jioni, nachukia mwanaume asiye na uwezo kutongoza, yupo kama Bei Elekezi 😂😂😂
We jamaa bwana. Kama bamdogo Noeli. Anaweza kuta mnakula msosi anasema yeye hali anaonja tu, basi atatia tonge tatu halafu anaenda kukaa nje anamwita dada anamwambia aiseee nimekula chakula kitamu hebu naomba niwekee na mimi kidogo.Nikiendelea kuongelea ili jambo, nitajikuta naweka wazi kitu ambacho mpaka leo sijaamuaga kukiongelea.
Labda nikufafanulie jambo moja, lawama wanazotoa single mothers, nyingi zinabase kwa wanaume waliozaa nao (their present and past life). Lakini zinazotolewa na wanaume, ni pale wanapokuwa kwenye mahusiano na single mothers (their present n future life).
So ni mwenye present & past VS mwenye present &future. Sijui kama umenielewa.
Hii mada ni too deep kuliko unavyoiona.
Ngoja niishie hapa [emoji4][emoji4].
mzee natumiw pesa na nani zitoke nchi tofauti?🤣🥰 hata nyumba zangu naweza weka hati picha hapa🤣 endelea kunichulia poaUnatumiwa pesa ya kumjengea kaka wewe unatongozea🤣
Tatizo kilainishi Cha shemeji Gily ni Cha mchongo,kimeshaexpire tangu April 20Leo jioni, nachukia mwanaume asiye na uwezo kutongoza, yupo kama Bei Elekezi 😂😂😂
Clepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃View attachment 2629015
Nikuite mbuzi???Niko nimekaa hapa😀
😀😀😀kaka Gily naomba cha tenmzee natumiw pesa na nani zitoke nchi tofauti?🤣🥰 hata nyumba zangu naweza weka hati picha hapa🤣 endelea kunichulia poa
View attachment 2629023
😀😀😀😀😀pole my wanguDada nilikwambia tulia hujataka kunisikia ukaanza kupiga vigelegele unaona sasa bestie zako wananitabiria maneno mabaya🤣
Ndio Mkuu , ukweli mpaka mtu anaangukia kuwa singo maza ni ukosefu wa kutumia akili na kutumia hisia .We dada zako si wamezaa hapo kwenu?
Sasa hii ndo ya mahari au maandaliziClepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃View attachment 2629015
😀😀😀mbuzi mwenye mategeNikuite mbuzi???
hah wanga wataloga bure hawaniwezi🤣🤣🤣Thank you dear😍🥀
Ila Sasa hapa ndo umeharibu my billionaire.🙏.
Wanga wakipita hapa watatuloga bure.
Turudi tukaongee wenyewe kule machakani🤣🤣.
Hawa ndugu zangu ntamalizana nao mwenyewe.🤣