Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Nikiendelea kuongelea ili jambo, nitajikuta naweka wazi kitu ambacho mpaka leo sijaamuaga kukiongelea.

Labda nikufafanulie jambo moja, lawama wanazotoa single mothers, nyingi zinabase kwa wanaume waliozaa nao (their present and past life). Lakini zinazotolewa na wanaume, ni pale wanapokuwa kwenye mahusiano na single mothers (their present n future life).

So ni mwenye present & past VS mwenye present &future. Sijui kama umenielewa.

Hii mada ni too deep kuliko unavyoiona.

Ngoja niishie hapa [emoji4][emoji4].
We jamaa bwana. Kama bamdogo Noeli. Anaweza kuta mnakula msosi anasema yeye hali anaonja tu, basi atatia tonge tatu halafu anaenda kukaa nje anamwita dada anamwambia aiseee nimekula chakula kitamu hebu naomba niwekee na mimi kidogo.

Halafu anakula. Sasa huwa najiuliza hivi uncle anashida gani huyu kuonja halafu anapiga msosi kamili. Khaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unatumiwa pesa ya kumjengea kaka wewe unatongozea🤣
mzee natumiw pesa na nani zitoke nchi tofauti?🤣🥰 hata nyumba zangu naweza weka hati picha hapa🤣 endelea kunichulia poa
 
We dada zako si wamezaa hapo kwenu?
Ndio Mkuu , ukweli mpaka mtu anaangukia kuwa singo maza ni ukosefu wa kutumia akili na kutumia hisia .

Mtu anakosa utulivu wa kuchanganua mambo Hadi anaangukia kwa mtu mjanja na kushiriki naye ngono zembe ....mateso yanawapata watoto wao.


Niseme tu wanawake na huwezo Mdogo wa kuchambua Mambo that way singo maza wanaongezeka day bay day
 
Teh! Kuna vitu hata sio vya kushadadia.
 
Thank you dear😍🥀
Ila Sasa hapa ndo umeharibu my billionaire.🙏.
Wanga wakipita hapa watatuloga bure.
Turudi tukaongee wenyewe kule machakani🤣🤣.
Hawa ndugu zangu ntamalizana nao mwenyewe.🤣
hah wanga wataloga bure hawaniwezi🤣🤣🤣
 
Glenn nikirusi home nawek hati zangu za nyumba na viwanja vyangu
mimi sio mwenzako🤣 usione masikhara yangu hapa ukajua kilaza na bado nimeenda shule mzee😀
 
Back
Top Bottom