Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Single mothers ni wanawake kama wengine tuu na wote wanakuja na tabia na sifa tofauti kama wanawake wengine tuu, ni vijana wajinga tuu na wasio na akili wa JF wanaoogopa kuoa single mothers kwa sababu wanaogopa watachapiwa, wengine ni single mother kwa sababu walikuwa katika mahusiano ya hovyo (abusive) sasa wametoka, wengine mwanaume alikuwa kila kona nyumba ndogo, mlevi na hajali familia etc acheni huu ujinga
Asante mkuu,umejibu vyema sana
 
Jichanganye, mabinti hauwaoni badae uje kulialia hapa
Kwani hao mabint ndio wakamilifu?? Acheni kupotosha na kuwakatisha wenzenu tamaa,wapo single mother wenye akili timamu na wenye misimamo yao hawayumbishwi na ma ex,wameachwa wakaachika.
 
Naombeni ushauri wenu wadau.

Huyu single mother ana mtoto mmoja alishawahi kuolewa akaachika kama miaka miwili imepita tangu aondoke Kwa mumewe.
Wazazi huwa hawaachi milele. Ukiona baba mtoto anapiga simu kumsalimia mwanae au akimwambia mkeo amlete mtoto amuone. usikasirike
Mimi siwezi kuoa single mother. Single mother anatakiwa aolewe na single father na siyo vinginevyo
Hongera unaanza 1-0
 
Single mothers ni wanawake kama wengine tuu na wote wanakuja na tabia na sifa tofauti kama wanawake wengine tuu, ni vijana wajinga tuu na wasio na akili wa JF wanaoogopa kuoa single mothers kwa sababu wanaogopa watachapiwa, wengine ni single mother kwa sababu walikuwa katika mahusiano ya hovyo (abusive) sasa wametoka, wengine mwanaume alikuwa kila kona nyumba ndogo, mlevi na hajali familia etc acheni huu ujinga
Usitudanganye hata ukituita watu wa ovyo. Wazazi huwa hawaachani hata siku moja. HAPANA. BIG NO
Mkuu kuna mtoto kuugua, kutaka kumuona baba yake. Siku mtoto ameumwa halafu baba mtoto akaambiwa akamwambia mkeo aje hospitalini. Amefika mtoto kalazwa, wewe ambaye siyo baba yake una nafasi hapo? watashirikiana na watagongana vizuri. kipindi hicho wewe upo nyumbani
Acha kushauri watu ujinga. Single mother aolewe na single father na siyo mtu hauna mtoto halafu umuoe. Utakufa kwa presha.
Mwanamke yoyote duniani huwa haachani na mzazi mwenzake hata kupasha kiporo anapasha kiroho safi
 
Usitudanganye hata ukituita watu wa ovyo. Wazazi huwa hawaachani hata siku moja. HAPANA. BIG NO
Mkuu kuna mtoto kuugua, kutaka kumuona baba yake. Siku mtoto ameumwa halafu baba mtoto akaambiwa akamwambia mkeo aje hospitalini. Amefika mtoto kalazwa, wewe ambaye siyo baba yake una nafasi hapo? watashirikiana na watagongana vizuri. kipindi hicho wewe upo nyumbani
Acha kushauri watu ujinga. Single mother aolewe na single father na siyo mtu hauna mtoto halafu umuoe. Utakufa kwa presha.
Mwanamke yoyote duniani huwa haachani na mzazi mwenzake hata kupasha kiporo anapasha kiroho safi
Wewe ni zaidi ya mpuuzi au ni bwanamdogo sana na inawezekana uko form one
 
Hadi unavyokuja kuomba ushauri hapa maana yake hauna uhakika na hicho unachotaka kwenda kukifanya kama kitakuwa kitu sahihi ama la.

Nakushauri uachane nae. Tafuta mtu ambaye hautahitaji ushauri wa mtu kuwa nae.
 
Single mothers ni wanawake kama wengine tuu na wote wanakuja na tabia na sifa tofauti kama wanawake wengine tuu, ni vijana wajinga tuu na wasio na akili wa JF wanaoogopa kuoa single mothers kwa sababu wanaogopa watachapiwa, wengine ni single mother kwa sababu walikuwa katika mahusiano ya hovyo (abusive) sasa wametoka, wengine mwanaume alikuwa kila kona nyumba ndogo, mlevi na hajali familia etc acheni huu ujinga
Usitake kuwaingiza chaka vijana wa watu. Mbona sisi wanaume tukiwa hatuna hela mnatuambia tuache kulia lia tutafute hela ndipo tutafute mapenzi ?

Na hao masingle mother wapambane na hali zao sio kuja kuwinda vijana wa watu wenye bikra zao hawajawahi hatakuwa na mtoto wa kubambikiwa.
 
Single maza wanazaraulika hadi sio poa
Sio kudharauliwa ni kupewa hadhi yao. Kwahiyo akija mtu hapa anaomba ushauri kuwa anatembea na mke wa mtu unataka tuseme anapatia na tumuunge mkono?! Ushauri tunaowapa wanaotoka na wake za watu unapishana padogo sana na hawa wanaotoka na masingle mother.

Hebu mtuache na maamuzi yetu. Wanaume tukiwezeshwa kutafuta bikra tunaweza, wanaume hoyeeeeeee.
 
Kwani hao mabint ndio wakamilifu?? Acheni kupotosha na kuwakatisha wenzenu tamaa,wapo single mother wenye akili timamu na wenye misimamo yao hawayumbishwi na ma ex,wameachwa wakaachika.
Kwan wanaoyumbishwa wanakuwa sio timamu? Ni swala la kisaikolojia. Mtu ambaye amepata nae mtoto huyo ni mwenzake kimwili na roho na kwenye akili yupo.

Kila anapomuona mtoto wake anamuona na baba wa mtoto. Wewe utakuwa wanawake hauwafahamu vizuri eneo hilo. Uliza vizuri ambao yametukuta. Usione tunakuwa tunawasha moto hivi sababu tunajua ni namna gani hawa watu wanazingua.

Mimi siwezi kushauri mtu achukue Single mother maana naelewa impact yake huko mbeleni sababu hawa wanawake wa siku hizi eneo la adabu ya mahusiano ni zero, wana akili za kuazimana, na hawatii neno la mwanaume, atatii katika mazingira ambayo hana ujanja na anaogopa kuwa mwenyewe bila msaada. Ila akiwa mazingira mazuri anajimudu jiandae kwa upinzani muda wowote.

Wacha tuonekane wabaya na tunawadiss ila its for the best future of our grandsons and granddaughters.
 
Usitudanganye hata ukituita watu wa ovyo. Wazazi huwa hawaachani hata siku moja. HAPANA. BIG NO
Mkuu kuna mtoto kuugua, kutaka kumuona baba yake. Siku mtoto ameumwa halafu baba mtoto akaambiwa akamwambia mkeo aje hospitalini. Amefika mtoto kalazwa, wewe ambaye siyo baba yake una nafasi hapo? watashirikiana na watagongana vizuri. kipindi hicho wewe upo nyumbani
Acha kushauri watu ujinga. Single mother aolewe na single father na siyo mtu hauna mtoto halafu umuoe. Utakufa kwa presha.
Mwanamke yoyote duniani huwa haachani na mzazi mwenzake hata kupasha kiporo anapasha kiroho safi
Kama mimi ninachagua ku sacrifice kuoa mwanamke ambaye alishazaa before, then na yeye afanye ku sacrifice kumuachia huyu mtoto akitimiza miaka 7 aende kwa baba yake mzazi wakapambane huko na nisisikie ameniletea story za nimeenda kumsalimia mwanangu, atazaa watoto wengine ndio watakuwa watoto wetu na ndio tutawalea na kufurahia maisha.

Mtoto kama atakuja kumsalimia mama yake aje akiwa mkubwa ana akili timamu na anajua kuwa baba na mama hawaishi pamoja na ameanza kumuona mama ukubwani tena kwa kumtafuta.

Mambo ya kibwege bwege mimi sitaki pumbavu kabisa.
 
Wewe kaza fuvu muoe halafu utakuja hapa kulia lia😁
 
Achana Ujinga wewe kila siku tunaandika humu single mother hajawahi kuwa mwema
 
Back
Top Bottom