Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Sasa ni muhimu wanachama kuwawajibisha wabunge na mawaziri wenu kwenye kamati zenu za maendeleo na si kuwapa backup kwenye maeneo wanaonesha kutokua na uzalendo.
Na ikiwexekana mNawakosoa hadharani na si chumbani maana huu itaratibu wa kukosoana chumbani ndo unaleta uchawa
Ubinafsi unatumaliza.

Mtu anaweka katika mzani ;

Manufaa yake na familia yake au wananchi ambao hana undugu nao??

Binadamu tumekua wabinafsi mno.
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Kmmakee..
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Kwa kifupi Huyu mama kupata kura 2025 kutokea BARA asahau.
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
Mimi nilipoona Mzazibar tena MWANAMKE alafu muarabu mwenye ndugu zake Oman, sijui wajomba zake ni magavana Omani ati ndio raisi wa Jamuhuri nikbjua picha limeishia hapo.
 
Mkuu hata kwenye chaguzi zetu kuna wizi mkubwa sana wa kura, je tubinafshe tume ya uchaguzi? Na kwenye mahakama zetu tatizo ni hilo hilo la rushwa. Je mahakama zetu tunabinafsisha lini na kwa mwarabu wa wapi ili kupata ufanisi?
Ndio maana wapinzani wanataka katiba mpya hii nchi inahitaji uono na maendeleo.
Sio chama kwanza inatakiwa nchi kwanza
 
Wabunge wanawaza uwaziri tu na future ya familia zao.

Hakuna anayekumbuka wasiokua nacho.

Hili jambo halina manufaa yeyote kwa mwanchi wa kawaida isipokuwa tu kuongezeka kwa umaskini na kugeuzwa watumwa kwenye nchi yao.
Dhalimu ndio alishurutisha kupatikana kwa bunge la hivi kuwa ni wazalendo, sasa, sasa tunajionea wazalendo wakifanya mambo ya kizalendo kwa nchi yetu.
 
Ndio maana wapinzani wanataka katiba mpya hii nchi inahitaji uono na maendeleo.
Sio chama kwanza inatakiwa nchi kwanza

Mkuu katiba haileti ugali mezani, ama hujasikia hizo lugha?
 
Kwa kifupi Huyu mama kupata kura 2025 kutokea BARA asahau.
Hategemei kura, tume ya uchaguzi itapewa maagizo ni kura kiasi anataka atangazwe nazo. Dhalimu alishapanda mbegu mbaya kwenye chaguzi zetu.
 
Mnataka kuharibu Muungano. Rais Samia anafanya vitu kwa ajili ya watanganyika then ninyi mnaanza kuleta ubaguzi. Mbona mpo hivyo???
Kwa hiyo muungano utaimarika kwa Samia kuuza ardhi na rasilimali za Tanganyika?
 
Hategemei kura, tume ya uchaguzi itapewa maagizo ni kura kiasi anataka atangazwe nazo. Dhalimu alishapanda mbegu mbaya kwenye chaguzi zetu.
Kwa kifupi watanganyika amesha chafukwa akifanya hivyo polisi hawatatosha.
 
Ila wakuu lazima tukubali sisi waTZ ni mafala. Kama tumeshindwa kuzuia hili tutaweza nini?
 
Back
Top Bottom