2025 iwe fundisho, waliokuwemo na wasiokuwemo wote wapigwe chini tuanze upya
 
Wale wabunge wa CCM kule bungeni ndio wajue kelele za wananchi nje ya bunge zina nguvu zaidi ya maamuzi yao "kipofu" ya kugonga meza, na kuitikia ndio, hili liwe fundisho kwa wote, spika wa bunge, naibu wake, wabunge wote wa CCM na mawakala wao (Covid 19), na Rais anaetia saini sheria bila kufikiria.
 
Nimemsikia Mwigulu akihojiwa na BBC jioni hii.

Yeye bado anasisitiza haoni tatizo na tozo; tatizo ni wananchi hawajaelimishwa vizuri.

Hivyo kilichopo ni kuendelea kuwaelimisha wananchi.
 
Serikali SIKIVU.....

Serikali ADHIMU....

KONGOLE KWA VIONGOZI WETU🙏
 
Mmmhhh...wabunge wenyewe hao wa viti maalum...bashiru...polepole...
Tutegemee nn???!!!
 
Sijui wataficha wapi aibu wale waliokuwa wanaipigia debe humu humu jamii forum. Bunge kibogoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…