Uhalifu kwa mujibu wa sheria za nchi, dhambi kwa mujibu wa sheria za Mungu/dini
Kwa mfano kumtazama mwanamke kwa kumtamani ni dhambi lakini kwa sheria za nchi siyo kosa/uhalifu
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu mchungaji wa kilokole alifanya makosa kumpokea kanisani Anti Asu?



 
Nlishawahi sema huyu Nyangumi ni Bigfela!!😲
 
I'm trying to serve your face, wewe unazidi kujikakamua tu hapa.
Hivi hapa hata mjadala unaoendelea unauelewa kweli?
Unajua hata aliyeyaongea hayo? Umesoma hata tafsiri ya uharifu imerejewa kutoka wapi na ya dhambi kutoka wapi?
usipoelewa kitu jifunze kufuatilia kilipoanzia, siyo unatunga sentensi zako ambazo hata sielewi namna ya kuzijibu zaidi ya kuzidi kukuuliza maswali tu ambayo nayo badala ya kujibu unaleta story zingine
 
MK254 hii habari nafikiri itakuwa ni njema kwake,,, maana yeye ni mfuasi mzuri wa upinde,, Haya njoo upinge na hapa,,
"Hii ni habari nnnjemaa chioni ya leo na mbengo zikafongoke haleloyaaaa "
 
Freemason ni concept ya kupumbaza watu, wala haipo
 

N dhambi ila sio uhalifu hii n sabab haiathiri maisha ya mtu mwingine papa yuko sahihi kbsa na hajajiweka kutetea hao watu mtu ashakua gay utamfanya nn utamuua au utafanyeje lazma umuweke karb mjua vipi mtamsaidia kuondokana na hilo janga
 
Inasikitisha na kufedhehesha sana. Amelivua nguo Kanisa Katoriki. He is not a Christian.

Pope is a pure Devil.
 
Wezi na Majambazi ni Wahalifu,
Ndio maana Papa kasema Ushoga sio uhalifu japo ni dhambi
Mtu anamlala mtoto wako wa kiume hadi anageuka shoga unasema hajafanya uhalifu ?

Hivi upo timamu kweli wewe ?
Au ndio usha possesses mi demons.
Kumkosea Mungu ni uhalifu namba moja.
Huyo papa kawazuga tu. Katumwa na Rusifer.
 
Hebu nishushiee wine kidogo..nikiendeleaa kutafakarii maneno haya ya baba mtakatifu wetuuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…