Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Ndio boss. Ila wengi freemason HALL ndiyo huwa WANASEMA kanisa lakini sijawahi kuona jengo limeandikwa kanisa la freemason ILA wengi watakuonyesha freemason HALL hoja yangu ni hilo neno KANISA. Ndo mana nikamuuliza limeandika kanisa la freemason mimi picha za freemason HALL zipo kwenye mitandao hata wewe unaweza kuiona ILA jengo lililoandikwa KANISA LA FREEMASON ndiyo linalotatiza huenda labda sijatembea sana. Unaweza kutumia pic ya hilo jengo lililoandikwa KANISA LA FREEMASON?
Basi wasalimie hao rafiki zako FREE MASONS HALL.
Mimi walinikatalia kujibu swali langu lolote lile.
Ilibidi ukaulize kama nilivyo kuelekeza. Ulete mrejesho.Lakini inaonekana hutaki. Basi lielewe hilo hilo Holi.
 
4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini. 5 Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje? 6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki.

Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi. 7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. 8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

9 Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati. 10 Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako?

Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? 11 Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
....usitende dhambi tena!
Hiyo ni kauli ya Yesu.
Papa yeye anawaambia mashoga ni haki yao kwa hilo tendo. Hapa hakuna majuto ya tendo wala cha kutubia.
Utafanya je jambo kuwa la haki kisheria halafu tena utake litubiwe?
 
Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread

Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli

Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"

Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu

Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA

Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka

M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.


Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba

Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea [emoji1431][emoji1431]
Wafia dini mmekuja kufia dini[emoji1787][emoji1787] waafrika kazi kweli kweli
 
Kosa la papa ni kuisemea Dunia yote, ushoga sio uhalifu kwao lakini kwa Jamii zingine duniani ni uhalifu. Mfano urabuni, afrika kuna ukatoliki huko ushoga ni dhambi na uhalifu pia.
Papa kachemka
Mkuu Showmax nimeshajaribu kulifafanua hili kwamba Pope kama kiongozi wa Kanisa Catholic kote duniani alichosema,ni kwamba kila Askofu ktk taifa linalopinga ushoga aendelee kupinga as long as havunji sheria za nchi husika lakini wale ambao tayari mataifa yao yanautambua huu ujinga waendelee kuishi nao wakiwafundisha namna ya kuuacha bila kutoa matamko makali ya kuwakimbiza ktk imani.

Iko live papa amejaribu kuwa neutral Catholic inatambua tatizo lipo mashoga wapo na tunasali nao dini zote wapo kasoro wengine hawawezi kusema haya wakiogopa kuhisiwa vibaya na wafuasi wa dini husika,ndiyo ni kosa ktk taifa A lakini taifa B kwa mujibu wa sheria zilizowekwa na nchi zinaitambua hii tabia so lazima itafutwe namna ya kufanya ili kuwatoa hawa ktk hilo shimo nayo ni kuwaruhusu kuingia Kanisani kusali huku hawabaguliwi.
 
Mtu anamlala mtoto wako wa kiume hadi anageuka shoga unasema hajafanya uhalifu ?

Hivi upo timamu kweli wewe ?
Au ndio usha possesses mi demons.
Kumkosea Mungu ni uhalifu namba moja.
Huyo papa kawazuga tu. Katumwa na Rusifer.
Umesema Mtu analala na Mtoto wako wa kiume hadi anakua Shoga je kwanini lawama na mateso vinarudi kwa Shoga na sio yule Mtu aliyemuharibu Mtoto hadi akawa Shoga? Umeona sasa point ya Papa, mashoga ni victims hawapaswi kuhukumiwa bali kusaidiwa kwanini nyinyi mnawanyanyapaa, mnawasimanga na kuwaua?
 
Kikubwa hajatamka shekhe[emoji1545][emoji1545]

Maana kuna nyoka aina ya koboko zingetema sumu balaa,
 
Basi wasalimie hao rafiki zako FREE MASONS HALL.
Mimi walinikatalia kujibu swali langu lolote lile.
Ilibidi ukaulize kama nilivyo kuelekeza. Ulete mrejesho.Lakini inaonekana hutaki. Basi lielewe hilo hilo Holi.
Hayo maneno yanatoka kwenye kunywa chako. Hakuna sehemu niliyoasema ni marafiki zangu usiniwekee maneno mdomoni ambayo sijayaongea.hilo kukataliwa kujibu swali halinihusu huenda ikawa ni stori YAKO binafsi. Nilijaribu tu kusema sijawahi kuona jengo limeandikwa kanisa la freemason ILA lipo jengo limeandikwa freemason HALL.
 
Umesema Mtu analala na Mtoto wako wa kiume hadi anakua Shoga je kwanini lawama na mateso vinarudi kwa Shoga na sio yule Mtu aliyemuharibu Mtoto hadi akawa Shoga? Umeona sasa point ya Papa, mashoga ni victims hawapaswi kuhukumiwa bali kusaidiwa kwanini nyinyi mnawanyanyapaa, mnawasimanga na kuwaua?
Unalawitiwa huripoti, huoni kuwa hujatimiza majukumu yako.
Mashoga wana roho za Ushoga.
Roho za Rusifer.

Lengo tusizaliane

Lengo ni kupinga Amri ya Mungu ya Kuijaza dunia.

Lengo kuu ni kutokuwa na watu duniani.

Hivi wewe ukiwa Shoga kuna mtoto atazaliwa kwa uwezo wako ?

Unaiua mboo ili usizae ili kusiwe na watu duniani.

Huoni kuwa huo ni mpango Hasi ?
 
Lipo nenda kaulize pale pale Posta ya Zamani, utaoneshwa.
[emoji848][emoji848]
tanzania210.jpg
 
Basi wasalimie hao rafiki zako FREE MASONS HALL.
Mimi walinikatalia kujibu swali langu lolote lile.
Ilibidi ukaulize kama nilivyo kuelekeza. Ulete mrejesho.Lakini inaonekana hutaki. Basi lielewe hilo hilo Holi.
Halafu kwenye midaharo au hoja jaribu kuifanya akili YAKO iwe flexible na openness. Kwenye midaharo au hoja kama hizi huwa watu wanajifunza ILA kama utaendelea kukaza kichwa utajifunza zaidi. Lilikuwa ni swala la kusema tu nimekosea nilimanisha freemason HALL
 
Ungeweka kesi mojawapo, na hapa ninamaanisha wale mashoga wa hiyari, sio mtoto ameingiliwa kwa nguvu (maana hii inaangukia kwenye ubakaji)
Ipo kesi ilifunguliwa mwaka 2020, walishitakiwa wanaume 7, na nakala za mashtaka nilikuwa nazo
 
Hayo maneno yanatoka kwenye kunywa chako. Hakuna sehemu niliyoasema ni marafiki zangu usiniwekee maneno mdomoni ambayo sijayaongea.hilo kukataliwa kujibu swali halinihusu huenda ikawa ni stori YAKO binafsi. Nilijaribu tu kusema sijawahi kuona jengo limeandikwa kanisa la freemason ILA lipo jengo limeandikwa freemason HALL.
Sijui anacho bisha nini,jengo lipo nyuma pale ya ifm hakuna sehemu wameweka ni kanisa
 
Unalawitiwa huripoti, huoni kuwa hujatimiza majukumu yako.
Mashoga wana roho za Ushoga.
Roho za Rusifer.

Lengo tusizaliane

Lengo ni kupinga Amri ya Mungu ya Kuijaza dunia.

Lengo kuu ni kutokuwa na watu duniani.

Hivi wewe ukiwa Shoga kuna mtoto atazaliwa kwa uwezo wako ?

Unaiua mboo ili usizae ili kusiwe na watu duniani.

Huoni kuwa huo ni mpango Hasi ?
Mbona kama umebadili mada?
Kwa hiyo hapo tena unamlaumu mtoto kua alilawitiwa hakuripoti huo ndio uhalifu wake??
Bado tena wasema Mashoga wana roho za Ushoga wakati umesema kuna Watu wanalawiti Watoto wadogo hadi wanakua Mashoga,

Tushike lipi hapo ewe Che Mittoga?

Ps; ni Lucifer sio Rusifer
 
Poi
Ushawauliza kama wana Kanisa ?
Au umeshafika tayari ?

Waulize wakikataa uje useme humu.
Point yako na unacho ambiwa Ni vitu tofauti,unachotaka kusema Ni kitu kingine,Ila elewa kwanza unachoambiwa ndio ufike uko unataka
 
Back
Top Bottom