Hii kimbinyiko ya maraisi wa Afrika. Wazungu kwa ubaguzi bwana !.Kule Makka hakuna hiyo.Hakuna anayepewa hadhi ya uraisi lakini hakuna anayebaguliwa usafiri.Kapandishwa Kimbinyiko ya London,namuona mr.hustler anatabasamu pana sana.
Haswaaa na bahati nzuri tulisoma wote huko huko ughaibuniInaonekana wewe na mwenyekiti wa EFF ya South Africa Hon Julius Malema mko na same school of thought kuhusu ubeberu
Kwani kupanda Bus kuna tatizo gani ?I don't see the problem.
What I have seen is, they tried to minimize cost and simplify arrangements for the farewell.
Biden ameleta gari zote za Motorcade UK siku 3 kabla ya Jana.Ilitakiwa iwe vivyo hivyo mpaka kwa biden.
1st, Kuna mahala nimesema USA kapanda basi?Jiheshimu na uache uongo Frace, Germany,Japan,Canada,na USA hawajapanda basi
Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
Kwani maraisi wote ni wangapi waliokwenda mazikoni.Kwani hakuna hata gari ya ubalozi wetukwani Rais Samia Suluhu amepanda basi peke yake acheni maneo maneno mama katuwakilisha vyema na anaimarisha Diplomasia Tanzania
Magari yote ya Biden alikuja nayo je wa kwenu waliendanayo?, Kumbuka Rais wa marekan yeye uenda na ndege 2 moja ya mizigo na hiyo ya kumpeleka.Wakati watu kama akina magufuli wanapambana kutahiri fikra zetu,mbuzi kadhaa wakawa wanambeza,mbaya zaidi wengine wanatunzwa na hawa hawa wanaotudharau.
Anyaway as long as wote wamewekwa ktk bus,nadhani watakuwa wametumia wasaa huo kutafakari kwa pamoja juu ya namna wanavyochukuliwa na hao watu.
Huu uzi ni wa mwana kijiji...nitashangaa sana km umetokea DSM YA WANA BONGOUzi zingine mtu unajiuliza weeeeeee unaishia kukaa kimya tu
Mkuu ukiangalia usalama wa taifa hili wameamua iwe hivyo na ukiangalia jinsi walivyo jipanga wameweka kila aina ya ulinzi tunavyoona na tusivyovionaEbu geuza wazo, mfano bomu linalipuka hapo, what a loss kwa nchi ambazo viongozi wao wamo humo?
Yaani nikusema maiti ya huyo mama inathamani kuliko watu wa hizo nchi kadhaa ambazo zimewekwa kama nyanya kwenye gari moja bila kujali risks zinazoambatana na hiyo decision, what a dharau kwa dunia hawa binadamu wameonyesha, no wonder walikuwa ready kuua ili wajitajirishe...Shame shame shame shame upon their faces!
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha [emoji1].
View attachment 2361396
Akija tumlazimishe wanunue mabasiTunaweza kuokoa gharama kubwa ya usafiri wa viongozi wetu na tukaepukana na hizo tuzo ambazo zinazalishwa kila siku.
Mfano Rais Samia akiwa Dar ana anatakiwa kwenda Dodoma.Asubuhi anawahi stand anapanda Kimbinyiko na maafisa wake wote.
Waziri Mkuu anaweza kupanda Dar Express from Dar to Arusha hizi tozo tusingezisikia hata kidogo.
Wee uta
Wee nitakupiga utapike damu nyeusi, pumbaf black mind, nasty, shenzi wee, hujatiwa adabu, stupid, i will screw you up, nyokQ, nitakupiga ukojoe, huna adabu ww, unaweza mwambia hadi Mh. Rais maneno hayo, ww hujapigwa muda, nitakupiga ukisimama na kuongea una bahati, pumbaf
Na hapo nimesahau kukwambia kwamba usitake kuchukua mifano ya sijui Germany, Brazil, au China ukaibeba kama ilivyo na kuipaste kwa Tanzania. Kila nchi ina historia yake, namna zake na jinsi ambavyo tukio flani lina athari ipi kwa watu wa nchi hizo.Hili jambo wala halihitaji ufafanuzi, wengi wanaolishupalia exposure hakuna.
Viongozi wa nchi zengine mf. China, France, Germany, Brazil, etc. wamepanda mabasi na wala haijawa issue kabisa, ila bongo imekuwa big topic.
Tukiendelea na hizi mentality, hawa mafisi wa kijani watatutawala mapaka Yesu au mtume arudi
Maajabu yetu hayo [emoji38]Wanakuwaga miungu watu huku kwenye shithole countries. Ingekuwa huku tungeona silaha za moto na matumizi makubwa ya magari ya kifahari kwa kila kiongozi.
Kwahiyo walisubiriana uwanja wa ndege au??Sasa kama Rais ndani ya basi je wale wapambe si wamebakia hotelini, protokali zote kwishnei...
Kweli Tanzania nchi ndogo sana, maana ningefarijika kama marais wa Ufaransa, Ujerumani US, Canada nao ningewaonamo humo.
1st, Kuna mahala nimesema USA kapanda basi?
2nd, leta proof kwamba hao viongozi wengine walikuja na private motorcade, otherwise tutakuwa tunapotezeana muda bila sababu za msingi.