Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha [emoji1].
View attachment 2361396
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah...
Rais wetu alitaka kuficha sura ila wapi...
Security threat za Baiden ni tofauti na zinazomkabiri RuttoFormer Kenyan Governor, Mike Sonko responded to this saying, "These foreigners lack manners. How can they keep African Presidents in one bus in London? God forbid something bad happens on that bus. What will happen?"
Acha uongo wewe! Leta picha za viongozi wa china, france, gemany na canada wakiwa kwenye basiHili jambo wala halihitaji ufafanuzi, wengi wanaolishupalia exposure hakuna.
Viongozi wa nchi zengine mf. China, France, Germany, Brazil, etc. wamepanda mabasi na wala haijawa issue kabisa, ila bongo imekuwa big topic.
Tukiendelea na hizi mentality, hawa mafisi wa kijani watatutawala mapaka Yesu au mtume arudi
Wabongo wana nongwa sanaAcheni utoto hapa ,lazima mjuwe na mfahamu kuwa tukio la msiba wa malikia limekusanya viongozi wote karibu kila Kona ya Dunia, hivyo isingekuwa na uwezekano wa kuweka msafara kwa kila kiongozi, ndio maana wakatumia utaratibu huo ili kurahisisha hata suala Zima la usalama na hata namna ya foleni njiani , Hivyo huo ndio ulikuwa mkakatika mzuri wa kuwafanya Marais wetu kufika enei la tukio kwa ulahisi zaidi na kwa usalama mzuri,
Atakuwa wa Zim akipewa pound 1 anakataa anakumbuka za home mpaka kubeba na kwamaNingependa kujua Konda wa hilo Bus
Mimi nawaza Kam ingetokea ajali kwenye ilo basi tungepoteza viongozi wangapi wa Africa?ila waafrika mmhhhBiden anatua na beast, ambulance, jammer na gari zingine kadhaa afu umuweke kwenye yutong [emoji3]
Nani Kati ya hao kaenda na usafiri wake wa chini kama Biden?
Huwezi kufananisha G7 na hicho mnachokitaka, keyboard isiwafanye mkaisahau hali halisi.How about Marais wa G7?
Nani kakwambia hivyo, kwanza Ni heshima kubwa iliyotolewa kwetu kwa kutambua Historia yetu na wao katika suala Zima la diplomasia, Usalama imeimarishwa vizuri na mh Rais wetu mpendwa amesafiri vyema kabisa katika Kati ya umati mkubwa wa viongozi toka Duniani kwoteKupanda basi sio jambo la kushangaza.
Kinachoshangaza ni kuona kumbe hata MIUNGU WATU wanaweza kusondekwa kwenye DALADALA na wakatulia tulii bila kuleta fujo.
Ona samia kajiziba mdomo anatamani kujificha. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeshasema Jiwe' tanguapo haliwezi tembea eti"Wameenda kufanya nini kama sio kujipendekeza??wewe kila siku mtu yupo kwa majirani utafikiri hana kitanda Wala nyumba . Mbona jiwe alikuwa haendi.
Mie sio mzaramo ila nimeomba anae jua anisaidie
Watanzania hv muna nini ? Hv Kiongozi wa China Germany ' France unataka ufananishe na viongozi wetu wa Africa? em mda mwingine tuwe serious jamani!!!Leta picha hapa ya kiongozi wa china au france na German wakiwa kwenye basi moja!
Anajisemea kimoyo moyo " Mmmmmh! Leo, sijui" πSura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo π π€£
Hatukatai kubaguliwa,Rangi nyeusi tunabaguliwa sana