Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha [emoji1].
View attachment 2361396
Kwa hiyo wewe unayemuona humo ni Samia tu, hao marais wengine wakiwemo akina Ruto huwaoni! Wewe kweli hazimo au goroli zimekulegea kabisa kichwani!