GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hakuna Rais niliyempenda Tanzania kama Hayati Dk. Magufuli kama nilivyowapenda pia akina Nyerere na Mkapa kwani Wote hawa Watatu walibarikiwa mno Maarifa, Maono na Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.Nina uhakika kwa asilimia zote Marehemu Magufuli kama angelikuwa hai asingeenda kabisa.
Bila shaka angekuwa ametulia zake Chato
Nadhani mmemuona Rais wa Marekani alivyoingia na gari bunafsi nahisi kama ilisafirishwa mapema kabla yeye hajaenda kama Ilivyo hadi yao.Ukiwa na uchumi mkubwa huwezi kupandishwa Kwenye yutong,Mfano Rais wa France au China au canada au Russia au marekani au waziri mkuu wa Japan au nchi yoyote kubwa hawawezi kurundikwa kwenye hiyo yutong.hapo wametoa heshima Kwa kuangalia wewe ni nani.au Kwa mfano Rais wa afrika kusini kama yupo kapandishwa kwenye yutong IPi.fungueni akili zenu tujenge nchi zetu.watakuheshimu vipi wakati wanajua wanarais wa Africa ni WA michongo?Amka wewe Acha Kulala.
Wengine wamejipendekeza kwenda na kuishia tu kuficha Sura zao wakiwa wanapigwa Picha huku wakiwa wanapiga Miayo vile vile.Jpm wetu yeye asingeenda kabisa angemwambia balozi awakilishe.
Uhuru na kagame wapo kona gani?Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha [emoji1].
View attachment 2361396
'Genius' huyu hana 'Ujuha' huo Mkuu.Najiuliza comrade Mugabe angekubali kweli.Hivi Kagame hayumo kwenye daladala?
Sio Rais wa marekani Tu hakuna Rais aliyeko G7 aliyerundikwa kwenye yutong.Mfano Rais wa China au France au wa nchi yoyote kubwa Angekubali kurundikwa ovyoovyo hivyo kwenye yutong?tuanze kujenga nchi yetu inawezekana.Nadhani mmemuona Rais wa Marekani alivyoingia na gari bunafsi nahisi kama ilisafirishwa mapema kabla yeye hajaenda kama Ilivyo hadi yao.
Sasa mnataka kulinganisha kweli na Marais wetu wa Africa inayowanyenyekea !! Badala ya kupanga jambo la maendeleo ninsafari tuu.
Angalia viongozi wote wawili wa ngazi ya juu kabisa wametoka!! Haya yalifanyika awamu ya 5!??
Huna ukijuacho kaa tu Kimya sawa?GENTAMYCINE dah skujua Kama una upeo mdogo kiasi hiki, unakumbuka kipindi Tanzania inapata Uhuru nkuruma alimtuhumu nyerere kwa kung'ang'ania mfumo wa kijeshi wa kikoloni.? Hata alipo taka kupinduliwa nyerere alienda kwa malkia kuomba msaada.?
Kifupi nyerere alikua ni mtu wa kujipendekeza labda kwa baadae ndo alikuja kuvunja mahusiano ya ki diplomasia Kati ya marekani na uingereza.
Mwenye hiyo orodha yako mtoemo nyerere.
Mbavu zangu miyeHuyo Ruto, ndiyo Kwanza anachekelea, kupandishwa kwenye basi, kwa kuwa yeye ni "Hustler" anaona kama vile wamempa promotion kumpandisha kwenye basi, kwa kuwa yeye kawaida yake kuendeshwa kwenye toroli![emoji28]
Basi na Sisi tujijenge tuwe kama wao.tunadharauliwa Kwa sababu wanatuona hatuna akili tumeshindwa kutumia rasilimali zetu nyingi kujikomboa.Huwezi kufananisha G7 na hicho mnachokitaka, keyboard isiwafanye mkaisahau hali halisi.
Sina nikijuacho kuhusu Nini.!? Au wewe unazani una maarifa kuliko wote tuliomo humu jf.?Huna ukijuacho kaa tu Kimya sawa?
Halafu ingesaidia nini?Kwangu Mimi hawa ndiyo 'Wanamume' wa kweli wa Bara la Afrika ambao Kwao Msamiati wa Kujipendekeza na Kudhalilishwa na Mkoloni wa Kihistoria ( Mzungu ) haukuwepo ndani ya Mioyo yao iliyotukuka.
Mbona wote hao ni compromizers tu.Hata kama wangekuwa na misimamo bado isingesaidia,Njaa hainaga baunsa.GENTAMYCINE dah skujua Kama una upeo mdogo kiasi hiki, unakumbuka kipindi Tanzania inapata Uhuru nkuruma alimtuhumu nyerere kwa kung'ang'ania mfumo wa kijeshi wa kikoloni.? Hata alipo taka kupinduliwa nyerere alienda kwa malkia kuomba msaada.?
Kifupi nyerere alikua ni mtu wa kujipendekeza labda kwa baadae ndo alikuja kuvunja mahusiano ya ki diplomasia Kati ya marekani na uingereza.
Mwenye hiyo orodha yako mtoemo nyerere.
Sasa si angetuma muwakilishiNina uhakika kwa asilimia zote Marehemu Magufuli kama angelikuwa hai asingeenda kabisa.
Bila shaka angekuwa ametulia zake Chato