GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hakuna Rais niliyempenda Tanzania kama Hayati Dk. Magufuli kama nilivyowapenda pia akina Nyerere na Mkapa kwani Wote hawa Watatu walibarikiwa mno Maarifa, Maono na Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.Nina uhakika kwa asilimia zote Marehemu Magufuli kama angelikuwa hai asingeenda kabisa.
Bila shaka angekuwa ametulia zake Chato
May all of them Rest In Peace.