balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Magufuli alikuwa bora liende tuHakuna Rais niliyempenda Tanzania kama Hayati Dk. Magufuli kama nilivyowapenda pia akina Nyerere na Mkapa kwani Wote hawa Watatu walibarikiwa mno Maarifa, Maono na Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.
May all of them Rest In Peace.
Mzee Saidi umefungua account mpya?GENTAMYCINE dah skujua Kama una upeo mdogo kiasi hiki, unakumbuka kipindi Tanzania inapata Uhuru nkuruma alimtuhumu nyerere kwa kung'ang'ania mfumo wa kijeshi wa kikoloni.? Hata alipo taka kupinduliwa nyerere alienda kwa malkia kuomba msaada.?
Kifupi nyerere alikua ni mtu wa kujipendekeza labda kwa baadae ndo alikuja kuvunja mahusiano ya ki diplomasia Kati ya marekani na uingereza.
Mwenye hiyo orodha yako mtoemo nyerere.
Mkapa mtuoHakuna Rais niliyempenda Tanzania kama Hayati Dk. Magufuli kama nilivyowapenda pia akina Nyerere na Mkapa kwani Wote hawa Watatu walibarikiwa mno Maarifa, Maono na Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.
May all of them Rest In Peace.
Imagine viongizi wawili wakuu wa nchi hawapo kwanini watu waliobaki wasile Kwa urefu wa kamba zao?Nadhani mmemuona Rais wa Marekani alivyoingia na gari bunafsi nahisi kama ilisafirishwa mapema kabla yeye hajaenda kama Ilivyo hadi yao.
Sasa mnataka kulinganisha kweli na Marais wetu wa Africa inayowanyenyekea !! Badala ya kupanga jambo la maendeleo ninsafari tuu.
Angalia viongozi wote wawili wa ngazi ya juu kabisa wametoka!! Haya yalifanyika awamu ya 5!??
Rubbish and Nonsense.Sina nikijuacho kuhusu Nini.!? Au wewe unazani una maarifa kuliko wote tuliomo humu jf.?
Nyerere hakua na msimamo, kwenye orodha yako mtoemo nyerere.
Nafikiri hii kitu umeielewa na kuiweka vizuri sana. Kuna mamtu yapo bize kuwatetea hao waliovunja protokali ya mkuu wa nchi kwa kisingizio eti mbona na viongozi wengine wa nchi wamefanyiwa hivyo. As if uthamani wa taifa letu pamoja (na viongozi wanaopaswa kulinda thamani hiyo) una ubia na nchi zinginezo.Just imagine sheria za nchi kuhusi taasis ya urais wameivunja bila.kujali, meaning wanauwezo wa kumwambia Amiri jesho yetu mkuu chochote bila madhara yoyote ya kidiolomacy kwao...Hiyo precedence iliyowekwa leo na hiyo familia na nchi yao kama dunia isipolaani haitakuwa poa kabisa na sisi taasisi yetu ya urais ijifunze, isirudie kosa kama hili hata siku moja na watuombe radhi wananchi kwakutushushia heshima ya Jamhuri yetu.
Hivi huyu marehemu hata ingekuaje angeweza ku compromize u malkia wake kwa sekunde hata moja? Ingeashiria nini kwa Kingdom yao?
Akija kwako hadi unampigia dekiMsibani watu wanalala chini japokua wametoka kwenye mansions zao, ni humility
Tukio ni la msiba, tuanzie hapoAkija kwako hadi unampigia deki
Ila sijui ni kwanini Wanalijadili sana Chogo la Kenyan Hustler na Ukiwi ( Uweusi ) wake tukuka.Duuh hii poa sana.
Anapitia mtandaoni haamini fedhea anazopokea. Akitoka anatuongezea Tozo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajitetea sana... samia kaaibika sana maskinii
Amejikunyata dirishani kwa hofu anatamani kujificha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa msibani kuna wageni vip.Tukio ni la msiba, tuanzie hapo
Unazidi kuonyesha uhalali wa hoja yangu bila hata wewe mwenyewe kujishtukia. Hizo sababu ulizozitaja ndizo hasa sababu za msingi za akina Samia kupandishwa basi. Mwingreza amewapimia thamani yao na kuona wanafaa basi. Kwa upande mwingine upo sahihi: viongozi wanaojielewa thamani yao aidha hawajaenda au hawakukubali kuwekewa masharti.Nyie wajengewa vyoo mnauthamani gani WA kuwapanga host wenu jinsi ya kuwahandle ?
How dare you ? Mmelazimishwa kuhudhuria ?
Hivi Lisu alimtelekeza dada yako?Lisu ndiyo kwanza analelewa na wao kabisa
Ata huku wakwe na ndugu wa karibu wanapewa nafasi, kukosa humility ni issue ya malezi mabayaSasa msibani kuna wageni vip.
.
Mbona wengine hawana humility