Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Mawazo mgando sana haya, how can you be so rigid in the flexible world like this. Remember, pale hakukuwa na cheo cha uraisi bali viongozi waalikwa na maelekezo yalitolewa kabla. Don't complicate matters
Flexible world like this? Ulimwengu gani unaozungumzia wewe, huu huu ambao mwingereza ametumia fursa ya kifo cha malikia "kuwaalika" wale anaoona hawana shida nao kidiplomasia? Na kutowaalika Russia, Myanmar, Venezuela, Belarus, Syria, na kuwaalika nusu nusu China kwenye sijui hayo mambo ya vifo vya malkia? Hiyo ndo unaita flexible world?

Hamna uflexible hapo, ni mwingereza tu kutumia fursa ya kifo cha huyo bibi kisiasa. Vyovyote vile unavyojaribu kutazama, genge la viongozi wa thamani ndogo waliyopewa huko kwa huyo bibi hawatuwakilishi wananchi wa nchi wanazoziongoza. Xi Jinping kaalikwa hakwenda akamtuma mbadala wake. I am sure kiongozi yeyote anayejua thamani ya nafasi yake angetuma mwakilishi iwapo masharti yaliwekwa kabla.
 
Waafrika tunahagaishwa na kitu kinaitwa Paranoia au Repercussion Complex.Hata katika mazingira ya kawaida tunapokutana na matendo ya mzungu bila kujali Mila,utamaduni na mipango yake huwa tunadhani tunanyanyaswa,tunaonewa,tunapuuzwa nk!

Fikiria mazishi ya Malkia yalihudhuriwa na Marais na watu mashuhuri 500 kutoka kote duniani.Kulikuwa na Marais 55, mawaziri wakuu 23 na wafalme/ masultan 19.Fikiria wote hao wangeenda na misururu ya magari yao hapo Westminster Abbey penye kutosha watu 2200 pangetosha na parking ingekuwaje.Misururu yote hiyo usalama ungekuwaje?

Kingine ambacho hatujiulizi viongozi kutoka mabara mengine walienda na usafiri upi? Kwa nini tunaona ni viongozi wa Africa tena tunamjadili Samia kwa upekee!!

George Orwell katika kitabu chake cha Animal Farm kuna nukuu inasema: all animals are equal but some are more equal than others.Tusichukulie poa kwa sababu Samia ni Rais kama Biden watakuwa na hadhi sawa.Kubali kataa ndo maana walioingia na magari yao ni Biden na PM wa Israel!

Na mwisho msafara na shughuli zote za mazishi zilifanyika humohumo London,mnaolilia misafara nani kawaambia mazishi yalifanyika Liverpool au Southampton kwamba rais wetu alichoka kwa safari ndefu?
 
Kwani maraisi wote ni wangapi waliokwenda mazikoni.Kwani hakuna hata gari ya ubalozi wetu
akapanda gari yake.
Watu wakinunua mavieite ya milioni 560 tunalalamika ! Wenzetu wakituonyesha namna ya kubana matumizi yasiyo ya lazima kwa mfano kutumia usafiri wa Basi pia tunalalamika !! Bandugu hata sijui tumesimamia wapi ? Jamaa wanatuonesha kwa vitendo kwamba sisi bado ni masikini !! Wanatuitaga third world countries!!
 
Waafrika tunahagaishwa na kitu kinaitwa Paranoia au Repercussion Complex.Hata katika mazingira ya kawaida tunapokutana na matendo ya mzungu bila kujali Mila,utamaduni na mipango yake huwa tunadhani tunanyanyaswa,tunaonewa,tunapuuzwa nk!

Fikiria mazishi ya Malkia yalihudhuriwa na Marais na watu mashuhuri 500 kutoka kote duniani.Kulikuwa na Marais 55, mawaziri wakuu 23 na wafalme/ masultan 19.Fikiria wote hao wangeenda na misururu ya magari yao hapo Westminster Abbey penye kutosha watu 2200 pangetosha na parking ingekuwaje.Misururu yote hiyo usalama ungekuwaje?

Kingine ambacho hatujiulizi viongozi kutoka mabara mengine walienda na usafiri upi? Kwa nini tunaona ni viongozi wa Africa tena tunamjadili Samia kwa upekee!!

George Orwell katika kitabu chake cha Animal Farm kuna nukuu inasema: all animals are equal but some are more equal than others.Tusichukulie poa kwa sababu Samia ni Rais kama Biden watakuwa na hadhi sawa.Kubali kataa ndo maana walioingia na magari yao ni Biden na PM wa Israel!

Na mwisho msafara na shughuli zote za mazishi zilifanyika humohumo London,mnaolilia misafara nani kawaambia mazishi yalifanyika Liverpool au Southampton kwamba rais wetu alichoka kwa safari ndefu?
Umenena kweli !
 
Wakubwa wanavyoingia kwa msiba....

1663648956516.png
 
Kwakweli binafs sijaona shida maana msiba huo ulihudhuriwa na watu zaidi zaid milioni moja, so kama kila mmoja angetembea kwa usafiri wake mbona ingekuwa taabu sana! Huo ni utaratibu tu wa kawaida kabisa tena si kwa Rais Samia wa Tz hata marais wengine wanaonekana hata pichani!
 
Kwakweli binafs sijaona shida maana msiba huo ulihudhuriwa na watu zaidi zaid milioni moja, so kama kila mmoja angetembea kwa usafiri wake mbona ingekuwa taabu sana! Huo ni utaratibu tu wa kawaida kabisa tena si kwa Rais Samia wa Tz hata marais wengine wanaonekana hata pichani!
Tungemuona na mfalme wa Japan na Biden mle ndani isingekuwa maneno.Wametuvunjia heshima sana maraisi wetu waafrika kuwabeba namna ile.Eti raisi Mnangagwa ndiye aliyejitolea kuwa dereva.
 
cha ajabu ni kipi hapo,ila kwa wanaokejeli inaonyesha dhahiri ni chuki binafsi tu ila mwenyewe aliepanda basi yupo comfortable tu,kwani hamkuona majuzi tu alipanda boti ya abiria kutoka Zanzibar,ama hakika hakuna kitu kibaya kama chuki(jealous,hasad) hakika inaondoa ufahamu na inaleta ushabiki usio na maana
 
Ndiyo zitapunguza Machungu ya Sisi 'Miafrika' Kudharauliwa nao na kutufanya tuwe na Akili na tuache Kujikomba Kutwa Kwao?
Zitaonyesha hichi ukisemacho ni uongo unafiki na nikama ushangingi haufai kwa mtoto wa kiume

Au zitaonyesha ni kweli usemayo na una mawazo na uelewa mpana kama usemavyo na hakika wewe ni talented na ni kweli inabidi tuache kujikomba tujikomboe kwenye fikra za utumwa
 
cha ajabu ni kipi hapo,ila kwa wanaokejeli inaonyesha dhahiri ni chuki binafsi tu ila mwenyewe aliepanda basi yupo comfortable tu,kwani hamkuona majuzi tu alipanda boti ya abiria kutoka Zanzibar,ama hakika hakuna kitu kibaya kama chuki(jealous,hasad) hakika inaondoa ufahamu na inaleta ushabiki usio na maana
Watu wana linganisha jinsi wakiwa kwenye Misafara yao Bongo na V8 kama 10 msafara wa Raisi tuu pekeake.
 
Siyo wazungu wote Wana mawazo hayo usilete chuki zisizo na msingi nisawa na hapa Bongo kuna baadhi ya watu wa ovyo Wana mtukana na kuwabagua wazungu mf ni Dejan wa Simba
 
Back
Top Bottom