4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Aisee, Yani Marais pamoja na kupakiwa humo bado hapakua na dereva wa kuwaendesha, ama namna GANI pale
Kama ndivyo Basi watu weupe hakuna wafanyalo KWa bahati mbaya,
WENDA hii ni makusudi ya kuwaonyesha sio lolote tokana na mataifa Mengi ya Afrika kutoonyesha MOJA KWa MOJA kuwaunga mkono katika vita ya Urus na Ukrein , wamepiga ndege mbili kwa jiwe moja