Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjua Macron kwa sura?Ona Hii ng’ombe Macron na Viongozi wote wa G7 hawajapanda bus
Unamjua Macron kwa sura?
Mke wake?
Kwny hii picha hao waliosimama ni akina nani?
View attachment 2362627
Wewe hofu yako ni nini? Kwanza walitakiwa watembee kwa miguu....Si ndiyo kuomboleza huko? Acheni mambo ya dunia ya tatu.Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Mbona wakubwa wengine nao wamepanda bus.....au huoni ndugu.Unamjua Macron kwa sura?
Mke wake?
Kwny hii picha hao waliosimama ni akina nani?
View attachment 2362627
Wamezowea kuwaona kwenye mavieite ya Polepole !!Wewe hofu yako ni nini? Kwanza walitakiwa watembee kwa miguu....Si ndiyo kuomboleza huko? Acheni mambo ya dunia ya tatu.
Umeona swali nililoulizwa au?Mbona wakubwa wengine nao wamepanda bus.....au huoni ndugu.
UmeishiwaWakina nyani
Kama adui zake ni wachawi, mbona mabunduki sasa?Kila mtu ana adui hapa duniani lakini maadui wanatofautiana wapo ambao uwezo wao ni kuroga tu au kukufanyia fitina tu mtaani [emoji28][emoji28]
nothing worse than calling West mabeberu wakati dawa ARV nazipata kama msaada toka kwao.
Hizo ni protokali tu labda !Kama adui zake ni wachawi, mbona mabunduki sasa?
Huna ukimwi wewe...tuulize sisi tunaozitumiaARV ni msaada au FURUSHI LA SUMU?
Akili za nyumbu. Eti msaada [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jumla ya Heads of states duniani ni 195 na wapo ambao wamepuuza mwaliko, hao 500 ni kutoka hadi Jupiter? Jamaa ana fix kama wazee wa tozoUna uhakika wapo heads of states 500?
Umeishiwa
who tried ? thats our major concernI don't see the problem.
What I have seen is, they tried to minimize cost and simplify arrangements for the farewell.