4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
kualikwa ni sifa ? hz ndo akili tunazikosoaHivi nyie watu muko na matatizo?
Kuna ubaya gani ikiwa most head of state wamepandishwa basi?
Huyo Magufuli hata kualikwa asingealikwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kualikwa ni sifa ? hz ndo akili tunazikosoaHivi nyie watu muko na matatizo?
Kuna ubaya gani ikiwa most head of state wamepandishwa basi?
Huyo Magufuli hata kualikwa asingealikwa
Matusi ya nini?Wewe ndio ulioishiwa bwege wee,,,yan kwa akili yako yakitumwa unaona sawa kwa raisi wa Africa kuwa Kwenye bus kwasababu kuna ngozi nyeupe nayo imepanda bus!
Kuna heads of state waliokuja na spousesJumla ya Heads of states duniani ni 195 na wapo ambao wamepuuza mwaliko, hao 500 ni kutoka hadi Jupiter? Jamaa ana fix kama wazee wa tozo
Matusi ya nini?
Tungeendelea kujadili ila tutajadili nini mtu hata Macron wala Bolsonaro hujui ni akina nani na wanafanaje[emoji28]
Ht ukitumiwa picha u cant comprehend
Plus u cant see huo ndo ulikuwa utaratibu wa wenye msiba
Kipi kimekushangaza kupanda basi kuelekea msibani ajabu yake ni nini ni usafiri wa pamoja kuelekea penye shughuli nzima ya maziko ulihitaji kila kiongozi apelekwe kutumia usafiri gani ndio ungeridhika Mercedes bmw tufahamishe ili tuone kweli sio chukiWapi unasoma chuki?
Wapi unasoma nimepost kila jambo?
Uliyejaa chuki zisizo na mpango labda wewe.
Sorry nime-overlook, my apologies.Umeona swali nililoulizwa au?
Wapi unaponisoma kujiaminisha kizezeta zezeta kuwa nimeshangaa?Kipi kimekushangaza kupanda basi kuelekea msibani ajabu yake ni nini ni usafiri wa pamoja kuelekea penye shughuli nzima ya maziko ulihitaji kila kiongozi apelekwe kutumia usafiri gani ndio ungeridhika Mercedes bmw tufahamishe ili tuone kweli sio chuki
Ukiangalia hilo tabasamu lao unaona kabisa si la kawaida.Like whaat! hawaamini macho yao[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Wanatabasam tu wenyewe.[emoji16]View attachment 2361407
Ndio maaa ARV zimekufanya uharibikiwe akili.Huna ukimwi wewe...tuulize sisi tunaozitumia
Protokali za mabunduki?Hizo ni protokali tu labda !
Lakin Niko hai nadunda, nakumbiza mbayaNdio maaa ARV zimekufanya uharibikiwe akili.
U can argue with my ancestors😅Hahahah,,,Hoja yako ni if Macron arrived in a bus, we should too,,,So Europeans set the standard for Us right?,,Tunatakiwa tuwageze to seek validation from them ? and yeah siwajui ukiwajua wewe inatosha Psycho!!!
U can argue with my ancestors[emoji28]
Wazungu washamzika mtu wao and yeahh utaratibu wao ulikua hivyo wewe ni nani kuwapangia?
Ka'set standards kwako siku ukiupata huo urais(if at all kuna mtu atakupa[emoji28])
Putin hakuenda edit iyoNamuona china, iran, putin nao ndani ya bus