Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Kwakweli binafs sijaona shida maana msiba huo ulihudhuriwa na watu zaidi zaid milioni moja, so kama kila mmoja angetembea kwa usafiri wake mbona ingekuwa taabu sana! Huo ni utaratibu tu wa kawaida kabisa tena si kwa Rais Samia wa Tz hata marais wengine wanaonekana hata pichani!

Nimegundua kuwa kumbe wabongo huwa wanafurahia viongozi wao wakiishi maisha ya anasa ! Ndio maana wamechukia kuona kiongozi wao amepanda Luxury Bus pamoja na viongozi wenzake !!
 
Wakati watu kama akina magufuli wanapambana kutahiri fikra zetu, mbuzi kadhaa wakawa wanambeza, mbaya zaidi wengine wanatunzwa na hawa hawa wanaotudharau.

Anyaway as long as wote wamewekwa ktk bus, nadhani watakuwa wametumia wasaa huo kutafakari kwa pamoja juu ya namna wanavyochukuliwa na hao watu.
JPM alikua kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana.
 
Mbona Biden hakupanda BASI?
Wale wana maadui wengi kwa sababu ya vita wanazopigana mara kwa mara katika sehemu nyingi humu duniani ndio maana hata hizo gari za msafara wake zimeletwa kutoka kwao America !!
 
Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.

View attachment 2361396

Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.

View attachment 2361396
Hahahahaha wako hoi! Hahahaha. Mzungu siyo mtu mzuri kabisa. Hahaha. Ila kumbe yawezekana aise
 
Roho mbaya utapaliwa chakula bure
Roho mbaya imemuua Magu... nothing worse than calling West mabeberu wakati dawa ARV nazipata kama msaada toka kwao...ujue wengine huyu mshamba alitukwaza sana...nliwaza dawa ntachukulia Kenya au wapi ?
 
Roho mbaya imemuua Magu... nothing worse than calling West mabeberu wakati dawa ARV nazipata kama msaada toka kwao...ujue wengine huyu mshamba alitukwaza sana...nliwaza dawa ntachukulia Kenya au wapi ?
Watu wenye ukimwi mnakuwaga na hasisa sana
 
Back
Top Bottom