General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Huu uzi nimecheka hatariiiTungemuona na mfalme wa Japan na Biden mle ndani isingekuwa maneno.Wametuvunjia heshima sana maraisi wetu waafrika kuwabeba namna ile.Eti raisi Mnangagwa ndiye aliyejitolea kuwa dereva.