Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Mkuu ukiangalia usalama wa taifa hili wameamua iwe hivyo na ukiangalia jinsi walivyo jipanga wameweka kila aina ya ulinzi tunavyoona na tusivyoviona
Jana nilipita London wamemwagwa wanajeshi yaani ni wengi kuliko police na usalama usiseme kila ukipita lazima gari isomwe namba kwa mitambo yao
Nilifuatwa na Gari ya police dakika kadhaa wakaona huyu hana kitu

Wamezingatia kila kitu kuwalinda watu wote na usalama pia labda litokee tu

Kuhusu waliopanda mabasi ni wengi sana hata Rais wa Germany na Rais wa Italy na Wafalme wote wamepanda Bus
Ila wa Qatar sijui ukiherehere kasimamishwa dakika 20

Mama na wengine wako salama kabisa na wana enjoy selfie haha

Hii operation haijawahi kufanyika hapa maisha View attachment 2361793View attachment 2361794
Ahsante kwa ufafanuzi huu, kwa hakika umenijibu kistaarabu sana ahsante.

Hoja yangu kuu ni hii precedence iliyowekwa na tukio hili, si jambo dogo kwa uhuru wa nchi husika. Kwakweli huu umauti wa huyo kiongozi na historia yao, ilikuwa nafasi ya kuionyesha dunia kuwa wamejuta na wapo na dunia katika kuhakikisha kila utu unaheshimiwa, tofauti na mategemeo, wao wameonyesha kuwa wanaamini bado ni bindamu wa daraja la kwanza na wengine ndiyo wanafuata...Ni maoni binafsi na ukiona dunia karibu yote imekuwa concerned hili jambo si dogo!
 
Screenshot_20220919-190124.jpg
 
Viongozi wengi wa Africa ni wa hovyo sana!

Ktk hii picha ukiwaangalia wengi hawakuwa comfortably humo kwenye bus hata huyo Samoa mwenyewe ameona noma yaani wanajikuta kama wao ni class flani hivi hawatakiwi kupanda kitu tofauti na SUVs,ndege au boat spesho ila muangalie Ruto Rais wa Kenya anaonekana kabisa kufurahia kitendo hicho.
IMG_20220919_190606_1.jpg
 
Ahsante kwa ufafanuzi huu, kwa hakika umenijibu kistaarabu sana ahsante.

Hoja yangu kuu ni hii precedence iliyowekwa na tukio hili, si jambo dogo kwa uhuru wa nchi husika. Kwakweli huu umauti wa huyo kiongozi na historia yao, ilikuwa nafasi ya kuionyesha dunia kuwa wamejuta na wapo na dunia katika kuhakikisha kila utu unaheshimiwa, tofauti na mategemeo, wao wameonyesha kuwa wanaamini bado ni bindamu wa daraja la kwanza na wengine ndiyo wanafuata...Ni maoni binafsi na ukiona dunia karibu yote imekuwa concerned hili jambo si dogo!
Mkuu huwa majibu ya hasira mpaka nitukanwe bila kosa
Kuna mdau kanitusi kisa nimeandika mawazo yangu

Huwa naingia forums nyingi na kuna ustaarabu wa hali ya juu

Turudi kwenye mada
[emoji636] kwa miaka 71 wametawaliwa na Malkia huyu huyu kwa hiyo wengi wanamjua huyu tu imagine tangu Winston Churchill
Kwa hiyo wana haki kuifanya ya kihistoria
Angalia Wafalme wangapi wamekuja na wengi wana uhusiano pia na falme ya hapa

Ni historia tu mkuu na hata protocol zingine zimevunjwa leo
 
Halafu BUS walilopanda sasa,hata SHABIBY ana bus kali kuliko hizo

wakija tu wachezaji wao tunawapa mabus V.I.P ila sisi ndio kutujaza

kwenye kidaladala chao,sema fresh Maza etu nae aone utamu wa kukaa

kwenye bus hawezi hata kugeuza shingo wala kufungua kioo,ilivyo tamu

Marais wote waliopanda kimbinyiko kama hawatajifunza kitu,basi sasa .
Mama kakimbilia siti ya dirishani 🤠🤠
 
Mkuu huwa majibu ya hasira mpaka nitukanwe bila kosa
Kuna mdau kanitusi kisa nimeandika mawazo yangu

Huwa naingia forums nyingi na kuna ustaarabu wa hali ya juu

Turudi kwenye mada
[emoji636] kwa miaka 71 wametawaliwa na Malkia huyu huyu kwa hiyo wengi wanamjua huyu tu imagine tangu Winston Churchill
Kwa hiyo wana haki kuifanya ya kihistoria
Angalia Wafalme wangapi wamekuja na wengi wana uhusiano pia na falme ya hapa

Ni historia tu mkuu na hata protocol zingine zimevunjwa leo
Huyu anaanza kutawala Uingereza mwaka 1952 Putin anazaliwa kwao Russia. Ni mtu mashuhuri na mwenye ushawishi mkubwa.
 
Viongozi wako mia 5 kila mtu angepanda gari yake ungetegemea nini ! Mtoa post k.Ma y.ko

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Bidden ni nani?
Marekani pia ilikuwa koloni kama Zimbabwe/Rhodesia!

Acha kupaniki, tuliza akili utayagundua mengi.

Anyways, msibani hakuna protokali kama wengi mnavyotetea je, hata suala la rangi za kanda moja kuwekwa eneo moja nalo halikuachi na shaka ya ubaguzi?
 
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Hii mada mbona ni ya kitoto sana kiasi cha serikali kuitolea maelezo. Hapo kuna rais wa Kenya pembeni, ina maana na wao serikali itatoa maelezo?.

UK ni ndogo na ratiba ni ngumu siku zote muda hautoshi, hivyo wakaamua wapunguze msongamano kwa kuwapandisha mabasi kwa ajili ya kuwasafirisha baadhi ya wageni.
 
Mi bado najiuliza wapambe na machawa wa msafara Leo wako wapi? Yan wanavyojionaga wanatupush na mikwara tukae mbali Leo na wao wewekwa kwando aiseee [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1476] carma is real
Leo nao wakijikuna tu watajikuta central ya london 🤠🤠🤠 nyavuni
 
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Aliwezaje kupata seat ya dirishani?
 
Back
Top Bottom