Hizo fedha zilizonunua hayo magari zineelekezwa katika kununua Tractors kutatokea mageuzi makubwa katika Kilimo chenye Tija.Rais wa Zambia alikataa ununuzi wa magari mapya, vile vile na wa Bokinafaso amebaki na gari la zamani. Rais anaweza akasema msafara wangu usizidi magari 10 na ikawa hivyo. Kiongozi lazima awe in control siyo anaendeshwa kimzobemzobe.
Alafu watu watajaa ukumbini na kumpongeza kwa yote.Siku akistaafu atawaacha watanzania bado maskini alafu akikumbuka haya matumizi ataandika kitabu kuomba radhi,
The disastrous N_GEN_TZ frenzy is loading very fastA
Alafu watu watajaa ukumbini na kumpongeza kwa yote.
Maza ana matumizi makubwa kuliko BidenRais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Hizo 101 ni kidogo?Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Hata msafara wa Mwinyi kule kwao hauzidi gari 5ZImewekea mafuta ya kodi zetu, Wale wanao tupa Misaada wakina USA, Ulaya huko Raisi msafara wake hauzidi gari 4 au 5.
Suppose each vehicle with crews spends TZ 2,000,000*101*4 days equivalent to TZ 808,000,000/= for the whole motorcade consumable expenses!!!!Msafara wa maza kwa siku ni zaidi ya Health Center 2
Hapo nje na poshoSuppose each vehicle with crews spends TZ 2,000,000*101*4 days equivalent to TZ 808,000,000/= for the whole motorcade consumable expenses!!!!
Nilidhani utani !Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Hiiiiiiiiiiiiiiii 😳🙄Suppose each vehicle with crews spends TZ 2,000,000*101*4 days equivalent to TZ 808,000,000/= for the whole motorcade consumable expenses!!!!
Mmmh !ZInafika 150 hesabu vizuri,
its just nonsense. Hata sisi tunaoona yanayoendelea hatuna utashi wala ujasiri wa kusimama kukemea uhuni huu. Bunge lipo bubu, wananchi bubu, wasomi bubu, tumebaki kulia lia nyuma ya keyboard.Ukweli mchungu kuhusu Afrika ni huu:
UKIINGIA OFISINI HASWA ZA UMMA NA UKATOKA BILA KUPIGA PESA UNAONEKANA MPUMBAVU TENA MPUMBAVU SANA!
UKIPATA MADARAKA YATUMIE VIBAYA TENA BILA KUTUMIA UTASHI WOWOTE! USIRUHUSU MTU AKUFUNDISHE NAMNA YA KUFANYA KAZI YAKO! WAUMIZE WATU KIASI KWAMBA KILA MTU AKUOMBEE MABAYA! DUA NZURI KWA AFRIKA NI SAWA NA KUOMBEA MTU MIKOSI! ILA DUA MBAYA NDO SAWA NA KUMUOMBEA MEMA MTU.
HATA HAO MADEREVA WANATAMBUA KUWA WANAWAUMIZA WANANCHI, WANAJUA KUWA WATANZANIA WANAUMIA ILA HAWAWEZI KUSEMA WAKILINDA UGALI WAO.
Ndo uhalisia Mkuuits just nonsense. Hata sisi tunaoona yanayoendelea hatuna utashi wala ujasiri wa kusimama kukemea uhuni huu. Bunge lipo bubu, wananchi bubu, wasomi bubu, tumebaki kulia lia nyuma ya keyboard.
mtu mmoja alipata142 hata kama ni machawa wanaweza wasinunue mafuta lakini wanacho cha kuchukua kwa serikali.Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.