Rais Samia: TAKUKURU wamefuta kesi za kubambikizia 147, Polisi na nyie jitazameni
Watu walio smart wakishaona sehemu zinazosababisha kushindwa kupata ushahidi kwa wakati wanazipa hizo sehemu kwa kutunga sheria mpya na kuzipa meno na siyo kukataa kuwaachia watu huru kisa umeshindwa kumtia na makosa.

Serikali inakubali tu kwakweli tumeshindwa hivyo unawapa wataalam wako kazi ya kuhakikisha wanarudi mezani tena kuchora namna ya kuwabana na kuwatia wahaalifu...na ndivyo inavyofanyika duniani kote.

Timu ya mpira isiyo kubali makosa iliyosababisha ikashindwa na mpinzani wake hakiwezi kujiboresha na kua mshindi tena hapo baadae.
Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali na DPP wamekaa ki primitive sana.
 
Nmekuja kugundua, huyu Maza wenu hamna kila kitu

Sanasana anatengeneza mazingira kupokea rushwa.

Kwa stail.hii hata wahujum uchumi, wataachiwa sababu ya kusingiziwa

Alafu akina Mdude wakiendelea kusota
 
Takukuru was very abusive in that case. How could you have 147 bogus court cases?
Hawa wanatumia tax payers money. Where on earth is that allowed?
 
Nchi ikikosa Rais mzuri mifumo yote inakuwa ya kishetani. Akina Igp siro leo wanafanya kazi kwa uhuru kwa mujibu wa sheria za nchi. Wametukosea sana kwa kushiriki maovu na vitendo vibaya wakati wa Ibilisi Jiwe.

Lakini sheria nyingi zilienda fasta fasta na kupita. Mifumo imara inaanzia kwao wawakilishi wetu bungeni
 
Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika.

====




Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo uchunguzi unaanza kwenu kuharakisha chunguzi za kesi mbalimbali zilizopo ili kuharakisha kesi kusikilizwa na iadha kufutwa au mtu kuhukumiwa ipasavyo lakini pia niongee na jeshi la Polisi kupunguza kesi za kubambikiza.

Kuna mlolongo mkubwa wa makesi ya kubambikiza, huu ukipungua na mahabusu watapungua, kwasababu wengi wapo wanasubiri kuhukumiwa, kesi haiendi, ushahidi hakuna, mpelelezi anashindwa kupeleka kesi kwasababu hakuna ushahidi.

Niombe sana, nilizungumza hili na TAKUKURU, wameweza kufuta kesi 147 ambazo waliwabambikizia watu, kwahiyo nanyi Jeshi la polisi jikagueni kama kuna za aina hiyo nazo zifutwe ili tupunguze wingi wa mahabusu kwenye majela yetu.


Kwamba takukuru ya mwendazake ilikuwa inabambikizia watu kesi?

Hawa wasiishie kufuta kesi tu - hawa ni wa kuwajibishwa.
 
Dawa KWa vyombo vyetu kupunguza kubambikia watu kesi ,ni kupisha sheria ya kutakiwa kumlipa muhusika na alihusika kubambika kesi pale inapodhibitika kesi ya kumbambikiwa KWa muhusika
Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika.

====




Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo uchunguzi unaanza kwenu kuharakisha chunguzi za kesi mbalimbali zilizopo ili kuharakisha kesi kusikilizwa na iadha kufutwa au mtu kuhukumiwa ipasavyo lakini pia niongee na jeshi la Polisi kupunguza kesi za kubambikiza.

Kuna mlolongo mkubwa wa makesi ya kubambikiza, huu ukipungua na mahabusu watapungua, kwasababu wengi wapo wanasubiri kuhukumiwa, kesi haiendi, ushahidi hakuna, mpelelezi anashindwa kupeleka kesi kwasababu hakuna ushahidi.

Niombe sana, nilizungumza hili na TAKUKURU, wameweza kufuta kesi 147 ambazo waliwabambikizia watu, kwahiyo nanyi Jeshi la polisi jikagueni kama kuna za aina hiyo nazo zifutwe ili tupunguze wingi wa mahabusu kwenye majela yetu.
 
Nyie subirini mzoga wenu ufufuke,,gwajima ndio anaelekea uko kufufua
wee mbwa ndio tafsiri halisi ya wapinzani wa mwendazake.

yaani mtu akikusoma kwa utulivu anahisi jamaa alikulawiti akiwa hai[emoji24][emoji24][emoji24].
 
Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika.

====




Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo uchunguzi unaanza kwenu kuharakisha chunguzi za kesi mbalimbali zilizopo ili kuharakisha kesi kusikilizwa na iadha kufutwa au mtu kuhukumiwa ipasavyo lakini pia niongee na jeshi la Polisi kupunguza kesi za kubambikiza.

Kuna mlolongo mkubwa wa makesi ya kubambikiza, huu ukipungua na mahabusu watapungua, kwasababu wengi wapo wanasubiri kuhukumiwa, kesi haiendi, ushahidi hakuna, mpelelezi anashindwa kupeleka kesi kwasababu hakuna ushahidi.

Niombe sana, nilizungumza hili na TAKUKURU, wameweza kufuta kesi 147 ambazo waliwabambikizia watu, kwahiyo nanyi Jeshi la polisi jikagueni kama kuna za aina hiyo nazo zifutwe ili tupunguze wingi wa mahabusu kwenye majela yetu.
Waliobambikia watu kesi wamechukuliwa hatua gani?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Huoni hata leo IGP kajikakamua kusema mapato ya usalama barabarani yamepungua kwa vile watu hawafanyi makosa tena. Akidhani ni ujiko kukusanya fine za barabarani. Mh. Rais kamzodoa kwamba wasitegemee fine kama chanzo cha mapato. Bali watoe elimu watu wasifanye makosa.
Hawa Hawaendi Mbinguni
 
Mambo mengine tusipende kuwaonea tu watu.hivi mkuu wewe binafsi ukipewa changamoto na bosi wako unaweza kujiuzulu?
Ili kulinda heshima yangu itanibidi nitekeleze majukumu yangu kwa weledi.....

Iwapo nitaona mkuu wangu Wa kazi ananiagiza mambo ambayo najua wazi yapo kinyume cha maadili ya kazi yangu, nitakuwa tayari kujiuzulu!
 
Back
Top Bottom