Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Wanasiasa ni watu wabaya sana ila basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbwiga mbona unawasha sana na mambo ya Chadema? Huko CCM hamna mada za kujadili hadi kila wakati kuhangaika na Chadema? Koma kabisa !!!Ni aibu kubwa wasakata kabumbu wa Yanga na Simba wakawa na umoja na nguvu kiasi cha kujenga ofisi za chama
Sisi kama wadau demokrasia na maendeleo inatupasa kujenga jengo la ghorofa tatu kama ofisi ya makao makuu.
Nawasilisha.
Nguruwe mwenzako wa Lumumba huyo anajilengesha lengesha tu huku kiumeni.Nyumbu ganga wako usingizi wa pono
Kianzio ni million 100 toka kwa mzee Sabodo, kama mbowe na genge lake la wapenda pesa hawajaitafuna!Ni aibu kubwa wasakata kabumbu wa Yanga na Simba wakawa na umoja na nguvu kiasi cha kujenga ofisi za chama
Sisi kama wadau demokrasia na maendeleo inatupasa kujenga jengo la ghorofa tatu kama ofisi ya makao makuu.
Nawasilisha.
Kipaumbele cha CHADEMA kwa sasa sio ofisi, ni katiba mpya. Ofisi zisubiri kwanza. Muda wake ukifika zitajengwa tu!Ni aibu kubwa wasakata kabumbu wa Yanga na Simba wakawa na umoja na nguvu kiasi cha kujenga ofisi za chama
Sisi kama wadau demokrasia na maendeleo inatupasa kujenga jengo la ghorofa tatu kama ofisi ya makao makuu.
Nawasilisha.
Wewe mataga mambo ya Chadema yanakuhusu nini?Ni aibu kubwa wasakata kabumbu wa Yanga na Simba wakawa na umoja na nguvu kiasi cha kujenga ofisi za chama
Sisi kama wadau demokrasia na maendeleo inatupasa kujenga jengo la ghorofa tatu kama ofisi ya makao makuu.
Nawasilisha.
Kafa yeye badala ya upinzani ungali imaraJiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
Unataka wajenge ofisi nzuri kwani wamekwambia wanataka kuikopea mkopo benki!Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza ni kwa nini chama kikubwa kama CHADEMA hakina ofisi nzuri ya Makao Makuu. Kwa muda mrefu Chama kimekua kikiendelea kujibana pale mtaani Kinondoni kwenye jengo la zamani na dogo sana. Kwa yeyote anayejua kwa nini hili linaendelea atuambie hapa.
Nafikiri uongozi wa CHADEMA wakiomba Wanachama wachangie ujenzi wa ofisi nzuri ya Makao Makuu, inawezekana kabisa.
Akili zako huwa kama una wazimu tu.Sasa umeshachagua chumba utakachonyonyeshea hao watoto wako uliowazaa uzeeni na sehemu ya kubadilishia sidiria!Merde!Tumefanya mistake kubwa sana maana huu ni usaliti kwa wapigania haki na waponga ufisadi.
Yaani tunalambishwa asali na kusahau mapambano ya haki.
Tumuombe chief Hangaya na Ccm yake watujengee ofisi yetu.View attachment 2266080
Mbona unalalama Kamanda Mchovu,kulikoni.Tumefanya mistake kubwa sana maana huu ni usaliti kwa wapigania haki na waponga ufisadi.
Yaani tunalambishwa asali na kusahau mapambano ya haki.
Tumuombe chief Hangaya na Ccm yake watujengee ofisi yetu.View attachment 2266080
CCM imejenga Ofisi kwa Fedha za SerikaliKamanda kwani zile mil 100 alizotoa mzee Sabodo zilienda wapi? Hivi zilitumika angalau kununua kiwanja?