Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni
lazima makao makuu yajengwe mahali ambapo wana wanachama na wapiga kura wengi
 
Hizo ofisi ni kiini macho, hakuna ofisi ya jimbo hata moja iliyojengwa.
Jiulize viwanja walinunua lini? Hawa wazee wa michango ungeona humu wakichangisha kununua viwanja?
 
Umewaza vizuri sana mjukuu, naomba kuongeza tu zoezi la kuanza kujenga Makao makuu liende sambamba na kuanza kutekeleza sera ya majimbo au kanda kwa kila mwenyekiti wa Kanda kutafuta kiwanja na kuanza kujenga hata Kama zitakuwa two rooms lakini kila Kanda iwe na eneo kumbwa la ofisi.

Structures zina nguvu kubwa sana katika kukamilisha msukumo wa ndani wa binadamu wa kuamini na kufuata anachoaminishwa. Leo ukitaka kuoa lazima uonyeshe nyumba, uwezi kuoa ndipo ukatafute Kodi ya pango au kuwaza kujenga. Unayemwoa lazima ajue ataenda kuishi wapi na lazima awe na eneo ambalo wakwe wanalifahamu ili mtoto wao anapopata tatizo wajue pKuanzia.

Mnataka tuwape madaraka tuonyesheni kwamba mna makazi ya kudumu. Tuonyesheni nyumbani ambapo tutakuwa free kuingia na kumtoa mpangaji yeyote ambaye tutamwona hatufai. Tuonyesheni dira tujichange tujenge eneo ambalo litatupa nguvu ya kuwaamini na kuwawajibisha.

Mwenyekiti tekeleza
 
Mhe. Mbowe unapozunguka mikoani kuzindua ofisi ya chama za majimbo usiasahu hitimisho la safari hii litakuwa Dodoma au Dsm au Pwani na utawajibika kuwaonyesha wananchi eneo lakujenga ofisi ya Makao Makuu.

Nikuombe fanya ufanyavyo ila unapohitumisha operesheni hii ya Chadema digital make sure unawapa taarifa wanachama na wapenzi wa mageuzi nchini ni wapi tutajenga ofisi au endapo Kuna jengo lenye kufaa kuwa ofisi za makao makuu Basi waambie wananchi ni shs ngapi inahitajika kununua eneo hilo.

Uliahidi kung'atuka 2023, tusingependa Watanzania wafanye sherehe wakiwa hotelini, Bora katika kiwanja hicho utakachozindua tuweke tents lakini tuweke nia ya dhati kwamba shughuli zote za chama zitafanyika kwenye ofisi tulizojenga wanachama na siyo ulizojenga wewe Wala ruzuku. Wananchi wanataka kuona Wana eneo wanalojua Ni lao na liliwasaidia kutafuta ukombozi wa pili taifa lao.

Jengo ambalo ni Mali ya chama na wanachama litalindwa kwa nguvu zote kuliko kutuachia ofisi ya kupanga ufipa.

Tuanze Sasa na amini maneno yangu, Jambo hili litafanikiwa kwa asilimia kubwa kwa sababu Sasa hivi wapo ccm wanaohitaji Chadema imara ndipo waheshimiwe. Kukosekana kwa Chadema imara kunawafanya waliopo juu ya CCM kujiamulia wanavyotaka. Fedha za kujenga wananchi wanazo na ndani ya miaka miwili kuelekea 2023 tuna amini tutakuwa na makao makuu ya chama hiki hata Kama ni nyumba Kama madarasa ya shule za kata lakini Ni makao Makuu.

Zingatia na fanyia kazi kwa ustawi wa Chadema lakini pia kwa legacy yako kwa vizazi vijavyo.
Kweli chadema itajengwa na wenye moyo.
 
Umewaza vizuri sana mjukuu, naomba kuongeza tu zoezi la kuanza kujenga Makao makuu liende sambamba na kuanza kutekeleza sera ya majimbo au kanda kwa kila mwenyekiti wa Kanda kutafuta kiwanja na kuanza kujenga hata Kama zitakuwa two rooms lakini kila Kanda iwe na eneo kumbwa la ofisi.

Structures zina nguvu kubwa sana katika kukamilisha msukumo wa ndani wa binadamu wa kuamini na kufuata anachoaminishwa. Leo ukitaka kuoa lazima uonyeshe nyumba, uwezi kuoa ndipo ukatafute Kodi ya pango au kuwaza kujenga. Unayemwoa lazima ajue ataenda kuishi wapi na lazima awe na eneo ambalo wakwe wanalifahamu ili mtoto wao anapopata tatizo wajue pKuanzia.

Mnataka tuwape madaraka tuonyesheni kwamba mna makazi ya kudumu. Tuonyesheni nyumbani ambapo tutakuwa free kuingia na kumtoa mpangaji yeyote ambaye tutamwona hatufai. Tuonyesheni dira tujichange tujenge eneo ambalo litatupa nguvu ya kuwaamini na kuwawajibisha.

Mwenyekiti tekeleza
Point kubwa sana hii
 
Kumbe sasa tungekuwa na ofisi hata ya vyumba vinne iliyokamilika kuliko kupanga. Nani alitafuna hizi pesa?

Kama hazijatafunwa ziko wapi?

IMG_20210830_150312.jpg

IMG_20210830_150307.jpg

Cc SAGAI GALGANO Yoda, Kinyungu Vessel
 
Hizi akili hizi,badala ya kuuliza kwanini serikali inaendelea kumwaga pesa atcl wakati shirika linaendelea kupata hasara. Wewe unauliza milioni 100!ATCL hasara yake imefika biliioni 400!

Pale hazina na Tasac Kuna vidume vimekula zaidi ya milioni 500! Kwa kukaa vikao tu!!na hakuna aliyechukuliwa hatua.

Hizo millioni 100 walizopewa Chadema, ni pesa binafsi, sio za umma.
 
Hawezi acha huo mpunga uzagae pale ufipa. Atakuwa kasha ushughulikia zamani.
 
Hizi akili hizi,badala ya kuuliza kwanini serikali inaendelea kumwaga pesa atcl wakati shirika linaendelea kupata hasara. Wewe unauliza milioni 100!ATCL hasara yake imefika biliioni 400!

Pale hazina na Tasac Kuna vidume vimekula zaidi ya milioni 500! Kwa kukaa vikao tu!!na hakuna aliyechukuliwa hatua.

Hizo millioni 100 walizopewa Chadema, ni pesa binafsi, sio za umma.
Chadema ni mali ya umma kamanda. Hujui lolote.
 
Hizi akili hizi,badala ya kuuliza kwanini serikali inaendelea kumwaga pesa atcl wakati shirika linaendelea kupata hasara. Wewe unauliza milioni 100!ATCL hasara yake imefika biliioni 400!

Pale hazina na Tasac Kuna vidume vimekula zaidi ya milioni 500! Kwa kukaa vikao tu!!na hakuna aliyechukuliwa hatua.

Hizo millioni 100 walizopewa Chadema, ni pesa binafsi, sio za umma.
"CHADEMA ni pesa binafsi" mmmh!
 
2010 - Namwona Willbrod Peter Slaa akishuhudia kwa pembeniiii

Kwani Slaa anasemaje?
 
Hizi akili hizi,badala ya kuuliza kwanini serikali inaendelea kumwaga pesa atcl wakati shirika linaendelea kupata hasara. Wewe unauliza milioni 100!ATCL hasara yake imefika biliioni 400!

Pale hazina na Tasac Kuna vidume vimekula zaidi ya milioni 500! Kwa kukaa vikao tu!!na hakuna aliyechukuliwa hatua.

Hizo millioni 100 walizopewa Chadema, ni pesa binafsi, sio za umma.
Hapana hapana hapana tuna haki ya kujuwa mbowe alizipeleka wapi hizi hela tukiwaambia Mbowe mpigaji mnamtetea kama mnavyoamini sasa hivi hawezi kuwa gaidi aliwezaje kula hela yote hiyo lakini na nyie Chadema kama mmelogwa na mbowe kweli hamuwezi hoji hizo hela ziko wapi?
 
Gaidi hawezi acha huo mpunga uzagae pale ufipa. Atakuwa kasha ushughulikia zamani.
Zamani sana wamebaki kina Erythrocyte wanashabikia wazungu mahakamani wacha angalau alipe kidogo huko mahabusu
 
Back
Top Bottom