kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Msitake kumtisha magufuli wetu afutilie mbali,,,uhalali wakiwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msitake kumtisha magufuli wetu afutilie mbali,,,uhalali wakiwanja
Ikuponya umwenyekiti gwako Lumuli hah hahHivi Mbowe ndio aliyejenga Uwanja wa Ndege wa Chato ? mchakato wake unaufahamu ? je ujenzi wake uliidhinishwa na bunge la Tanzania kama katiba inayoelekezwa ?
Ni nani aliyekudanganya kwamba jengo la Chadema linajengwa na Mbowe ?
Mnyakyusa gani wewe unayetutia aibu wengine ? Uli nhaji fijo kangi ! Ikigune kya Kyala kikoguula pope , usulumenie fijo ! Aseee !!!
Hii ni ramani au picha?
😂😂😂 hivi Jiwe ni nani?Jiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
😂😂😂bomu ProofKama ni kweli, hilo jengo liwe na uwezo wa kuzuia mabomu.
halitajengwa,hujaona hata juzi Golden tulip wamewarudishia hela za kukodi ukumbi hata kule simiyu pia mwenye ukumbi alifunga akakimbia,hakuna hata fundi atakayebeba tofali,atakayethubutu atashughulikiwa kesi ya ubakaji au uhujumu uchumi, kwa hiyo usiwe na wasiwasi Comrade tuko vizuri
mmmh! mlimola.....mbona pwani walijenga mjengo wao zamani tu.... kabila ya sumaye....na uzi ukawekwa hapa jamvini kuwapongeza...utafute huo uzi...upo humu...na tuliwapongeza kwa jitihada...zaoKama walishindwa kujenga Jengo walipomchukua Lowasa wasahau.Ila Pwani nwwapongeza walitumia pesa za Sumaye kikamilifu Wana Jengo zuri Sana.Sumaye alipoingia chadema hawakumkawiza wakamkwapulia pesa zake chap chap na kumpa cheo Cha mwenyekiti wa chadema Kanda ya Pwani akawajengea Jengo.Lowasa alikwend...
Hakina uwezo huo,hiki ni chama cha kitaperi.
.Chadema hii ya Tz au Ile ya kule Somalia?
sasa nyie wana chadema hamjui kutofautisha ramani na picha mtaweza ongoza nchi.kweliRamani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 1181534
mnajengea pale pale ufipa auHii itakuwa kali kuliko zile ofisi za chama cha majambazi zilizopo makao makuu dodoma.
Chadema hii ya Tz au Ile ya kule Somalia?