Kama walishindwa kujenga Jengo walipomchukua Lowasa wasahau.Ila Pwani nwwapongeza walitumia pesa za Sumaye kikamilifu Wana Jengo zuri Sana.Sumaye alipoingia chadema hawakumkawiza wakamkwapulia pesa zake chap chap na kumpa cheo Cha mwenyekiti wa chadema Kanda ya Pwani akawajengea Jengo.Lowasa alikwenda na matajiri Akina Rostam Aziz nk na matajiri wengi walikuwa nyumma Yake wangewatumia ilikuwa kazi ndogo tu.Chadema walikuwa na matajiri wengi Sana kuondoka kwa Lowasa na kufariki ndesamburo kumebomoa daraja linalounganisha chadema na matajiri.Sasa hivi Sio rahisi.Chadema mitandaoni hawatoi hela kwanza hawana Ni porojo tu.Ruzuku inakatika muda mfupi tu miezi michache ijayo .Hata waseme ruzuku yote iliyobaki watatumia kujenga hela haitoshi na uchaguzi mkuu watakuwa pesa hawana na mishahara ya wafanyakazi pesa itakuwa hamna.Kiujimla hiki kinachosemekana mchoro wa jengo la makao makui Ni ramani hewa iliyoletwa kuwa lagjai wanachadema kwa lengo analolijua Mbowe na genge lake la Akina Godbless lema tu