Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni
Ahahahaaaaa nae ni dikteta tu kama Iddi Amini
Dikteta%20la%20Kwanza%20Tanzania.jpeg
 
Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni.

View attachment 1181534
acha utani bana hii ni hotel ya ......... kwanza unaposema ramani hii ndio ramani? au umeggogle ukatumbukiza tu?? usipoteze watu wakadhani unaongea kweli kumbeumekosa cha kuleta humu JF. kama huna cha kuleta bora upige kimya. ofisi gani kila chumba kina choo???
 
JENGO LIKO POA SANA UZURI WA JENGO SI KITU KAMA CHAMA KITAKUWA IMARA, BIG UP MAKAMANDA,NAMBIENI NA MIMI NITOWE ANGALAU TOFALI 100
 
Hatimaye iitwayo saccoss imeamua kuwa na ofisi zake? Wanajengea makao makuu au kwenye mji wa biashara?

Unajua ukiwa mjinga na mpumbavu unakuwa na sifa zile zile za wajinga na wapumbavu wenzako!!
Hivi umewahi kujiuliza swali ni vitu au mali kiasi gani ambazo zimeporwa na lile genge la ccm toka kwa wananchi na wawekezaji mbali mbali?
Ardhi, viwanja vya michezo, majengo, rasilimali fedha, uhai wa watu, mashamba, n.k?
 
Na vile watu hawajui Ku reason utawakamata wengi kweli kweli..... hiyo ni ramani ya hoteli ndugu..acha upotoshaji

Alaaa, si umeambiwa ramani ya jengo la makao makuu Chadema, wewe unalazimisha iwe Hotel....!!!

Ni jina la Hotel gani sasa? CHADEMA Hotel, au JF Hotel?

Hebu tuletee ramani ya jengo la ofisi linapaswa kuwa na sura gani eti?
 
Unajua ukiwa mjinga na mpumbavu unakuwa na sifa zile zile za wajinga na wapumbavu wenzako!!
Hivi umewahi kujiuliza swali ni vitu au mali kiasi gani ambazo zimeporwa na lile genge la ccm toka kwa wananchi na wawekezaji mbali mbali?
Ardhi, viwanja vya michezo, majengo, rasilimali fedha, uhai wa watu, mashamba, n.k?
Ayaaa, leo nimepewa heshima ya kuitwa mpumbavu. Bila shaka aliyenipa naye ni kama Mimi, maana wanasema waarabu wa pemba hujuana kwa viremba. Asante mpumbavu mwenzangu(tena wewe bila shaka una cheo Cha uenyekiti wa wapumbavu). Teh
 
Ayaaa, leo nimepewa heshima ya kuitwa mpumbavu. Bila shaka aliyenipa naye ni kama Mimi, maana wanasema waarabu wa pemba hujuana kwa viremba. Asante mpumbavu mwenzangu(tena wewe bila shaka una cheo Cha uenyekiti wa wapumbavu). Teh

Time will tell!!
 
Hatimaye iitwayo saccoss imeamua kuwa na ofisi zake? Wanajengea makao makuu au kwenye mji wa biashara?
Hata ikijengwa kwanza itakuwa mali ya mwenye SACCOS ,Dj Kim Il Sung mwenyekiti wa maisha,halafu kandarasi yote ya ujenzi ni yake yeye mwenyewe Mwenyekiti wa maisha.Wajinga ndio waliwao
 
Hata ikijengwa kwanza itakuwa mali ya mwenye SACCOS ,Dj Kim Il Sung mwenyekiti wa maisha,halafu kandarasi yote ya ujenzi ni yake yeye mwenyewe Mwenyekiti wa maisha.Wajinga ndio waliwao

Unajua ukiwa mjinga na mpumbavu unakuwa na sifa zile zile za wajinga na wapumbavu wenzako!!
Hivi umewahi kujiuliza swali ni vitu au mali kiasi gani ambazo zimeporwa na lile genge la ccm toka kwa wananchi na wawekezaji mbali mbali?
Ardhi, viwanja vya michezo, majengo, rasilimali fedha, uhai wa watu, mashamba, n.k?
Wananchi wamewapotezea tu.. nyie mnajitoa fahamu mnadhani mko salama..
Enyi wajinga na wapumbavu acheni kuanzisha Vita ya mawe wakati mnakaa kwenye nyumba ya vioo..
 
Hata ikijengwa kwanza itakuwa mali ya mwenye SACCOS ,Dj Kim Il Sung mwenyekiti wa maisha,halafu kandarasi yote ya ujenzi ni yake yeye mwenyewe Mwenyekiti wa maisha.Wajinga ndio waliwao
Hivi Mbowe ndio aliyejenga Uwanja wa Ndege wa Chato ? mchakato wake unaufahamu ? je ujenzi wake uliidhinishwa na bunge la Tanzania kama katiba inayoelekezwa ?

Ni nani aliyekudanganya kwamba jengo la Chadema linajengwa na Mbowe ?

Mnyakyusa gani wewe unayetutia aibu wengine ? Uli nhaji fijo kangi ! Ikigune kya Kyala kikoguula pope , usulumenie fijo ! Aseee !!!
 
Back
Top Bottom