Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni
Kampeni hewa ya mbowe hiyo kutaka aendelee kupewa uenyekiti chadema.Uchaguzi mkuu wa chadema uko njiani.Sasa hivi utasikia kila Aina ya propaganda za chadema sijui kufanya hiki sijui kufanya kile vyote hewa hewa tu kuwalaghai Wana chadema
Mbowe hana haja ya kujenga jengo ili achaguliwe alivyoijenga Chadema kimuundo na kitaasisi ni zaidi ya jengo la matofali.
 
yeyote atakayethubutu kuwauzia cement nondo ,atakiona acha moto,ma engineer watakaojenga lazima washughulikiwe kikamilifu
 
yeyote atakayethubutu kuwauzia cement nondo ,atakiona acha moto,ma engineer watakaojenga lazima washughulikiwe kikamilifu
Hiyo ni biashara mkuu, kuna kipindi walisema atakaye shona na kuuza sare za Chadema atanyang'anywa leseni leo madukani zimejaa.
 
Hiyo ni biashara mkuu, kuna kipindi walisema atakaye shona na kuuza sare za Chadema atanyang'anywa leseni leo madukani zimejaa.
ilikuwa awamu ya mzee bure,wakolomije hawana simile ni ubabe tu,watapotezwa lazima,ikibidi hata mr slim atasaidia
 
Likijengwa nagawa mke wangu kwa kwa mwaaume humu wiki nzima.
halitajengwa,hujaona hata juzi Golden tulip wamewarudishia hela za kukodi ukumbi hata kule simiyu pia mwenye ukumbi alifunga akakimbia,hakuna hata fundi atakayebeba tofali,atakayethubutu atashughulikiwa kesi ya ubakaji au uhujumu uchumi, kwa hiyo usiwe na wasiwasi Comrade tuko vizuri
 
Kampeni hewa ya mbowe hiyo kutaka aendelee kupewa uenyekiti chadema.Uchaguzi mkuu wa chadema uko njiani.Sasa hivi utasikia kila Aina ya propaganda za chadema sijui kufanya hiki sijui kufanya kile vyote hewa hewa tu kuwalaghai Wana chadema
Suala la uenyekiti wa Mbowe ni suala la Chadema na mbwa koko hawaruhusiwi kulijadili,mumeshindwa ku- impose mtu wenu inawauma, pambaneni na Membe kwanza.
 
Mwenyekiti wa kudumu ni wa kwetu, ninyi kinachowawasha ni nini? Mungu mbariki Mbowe
Heeeee kweli hiyo Demokrasia . Basi hicho Chama kibadilishwe jina kiwa na Majina mengine maana huko shuleni Wanafunzi wanachanywa na hiki Chama kujiita Chama cha Demokrasia.
 
Kiukweli chadema wanafanya uzembe sana kutojenga ofisi.wangeanza watu wangechangia.kwa sasa wananyimwa kumbi zote za mikutano kufanyia vikao vyao kwa sababu wafanyabiashara wanaogopa kibano cha magu.
 
Matumizi ya ruzuku ni kujengea ofisi?
Mmeshindwa kunenga nyakat zile mnapata mamilion ya ruzuku, mtajenga sasa wabunge weng wamewakimbia na kupunguza ruzuku? Jitahidin mjenge angalau choo maana next election mnamalizika
 
Kongole kwao..Hapa sasa mambo ni mazuri...hii iwe mwanzo sasa wa kuwa na ofisi za kisasa kila kanda ,kila wilaya na hatimaye kila shina....na vitega uchumi kama wenzenu wa upande wa pili
Kama walishindwa kujenga Jengo walipomchukua Lowasa wasahau.Ila Pwani nwwapongeza walitumia pesa za Sumaye kikamilifu Wana Jengo zuri Sana.Sumaye alipoingia chadema hawakumkawiza wakamkwapulia pesa zake chap chap na kumpa cheo Cha mwenyekiti wa chadema Kanda ya Pwani akawajengea Jengo.Lowasa alikwenda na matajiri Akina Rostam Aziz nk na matajiri wengi walikuwa nyumma Yake wangewatumia ilikuwa kazi ndogo tu.Chadema walikuwa na matajiri wengi Sana kuondoka kwa Lowasa na kufariki ndesamburo kumebomoa daraja linalounganisha chadema na matajiri.Sasa hivi Sio rahisi.Chadema mitandaoni hawatoi hela kwanza hawana Ni porojo tu.Ruzuku inakatika muda mfupi tu miezi michache ijayo .Hata waseme ruzuku yote iliyobaki watatumia kujenga hela haitoshi na uchaguzi mkuu watakuwa pesa hawana na mishahara ya wafanyakazi pesa itakuwa hamna.Kiujimla hiki kinachosemekana mchoro wa jengo la makao makui Ni ramani hewa iliyoletwa kuwa lagjai wanachadema kwa lengo analolijua Mbowe na genge lake la Akina Godbless lema tu
 
Lakini mbona sioni ramani, kama heading inavyosema?!
Ukitaka kijua kuwa chadema Kuna wajinga cheki walivyoisifia hiyo picha wakiita ramani.Mleta mada Ni kilaza wa kutupwa hajui hata ramani ya jengo ikoje.Tukiwaambia chadema akili zao ndogo wao hubisha ona Sasa walichokileta wanaita ramani ya jengo!!! Mleta mada kwa hiyo ulicholeta ndio kwenu chadema mnakiita ramani? Kwa hiyo hiyo ndio ramani mtakayompa contractor ? Uwiiii mbavu zangu mie
 
Back
Top Bottom