KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Sitashangaa sana hili likitokea.Jiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitashangaa sana hili likitokea.Jiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
Wivu wako ndo mtaji wako uko LumumbaMbona jengo limekaa kizamani kabla halijajengwa?
Tafuteni wabunifu wa majengo ya kisasa, achaneni na ushamba huo. Madirisha utafikiri jengo lote ni la vyoo.
Mwaka 2019 huu. Mko wapi? '60s?
Halafu twende segerea kwa kesi ya mauaji? Mimi siko tayari [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]hili jengo likijengwa naomba mnipige risasi
Jiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
Aisee wataipiga mabomu watu wa Magufuli
Hii itakuwa kali kuliko zile ofisi za chama cha majambazi zilizopo makao makuu dodoma.
Hahahahahah...mkuu acha kunichekesha utalipia mbavu zangu tafadhaliJiwe atamtuma Lukuvi kuwa kiwanja kina mgogoro
Ndio umeandika nini sasa? Kama unakiri tunajenga sasa hivi wakati hakuna ruzuku huoni ni hatua?Mmeshindwa kunenga nyakat zile mnapata mamilion ya ruzuku, mtajenga sasa wabunge weng wamewakimbia na kupunguza ruzuku? Jitahidin mjenge angalau choo maana next election mnamalizika
Naona choo tu
Mwenyekiti wa kudumu ni wa kwetu, ninyi kinachowawasha ni nini? Mungu mbariki MboweHii lazima itaendelea kuchelewesha uchaguzi wa Mwenyekiti wa kudumu.
Unakijua sana choo. Choo ni muhimu .katika kuliko kitandaNaona choo tu
Nyumba ni choo, mkuu.Naona choo tu
Acha wivu.Mbona mchoro unaonyesha ni Hotel ! Jongo la ofisi haliwezi kuwa na sura hiyo.