Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni
Chadema hapo huwezi kuwaona zaidi ya kuja na matusi yao ya kinnyumbu nyumbu tu.

Umewakamata tumboni.
65175781-crocodile-attack-wildebeest-in-the-mara-river-great-migration-kenya-tanzania-.jpg
 
Tunawanachama na wafuasi kama milioni mbili.

Sasa kama tukichana elfu kumi kumi tuna uhakika wa kupata bil mbili.

Bil mbii tunasimamisha jengo la maana kabisa.

Au tukichangishana zitatafunwa kama tulivyotafuna pesa za mzee Sabodo?
 
Tunawanachama na wafuasi kama mil mbili.

Sasa kama tukichana elfu kumi kumi tuna uhakika wa kupata bil mbili.

Bil mbii tunasimamisha jengo la maana kabisa.

Au tukichangishana zitatafunwa kama tulivyotafuna pesa za mzee Sabodo?
Tumekubaliana kabisa office zetu zipo moyoni jamani
 
Umeongea jambo la msingi japo upo upande wa pili. Viongozi lifanyieni kazi hili ni aibu kuwa na ofisi kama ya jogoo pale manzese r.i.p mrema
 
Back
Top Bottom