Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM imejaa watu wajinga tupuMimba aliyokupa huyo jamaa wa Chadema inaonekana inakutesa sana!! Na hapo ina mda mchache tu mpaka ujifungue una safari ndefu sana!!
Mbaya zaidi ukijifungua mtoto atakuwa anafanana na jamaa!! Kwa hiyo utakuwa umepata ukichaa wa maisha kabisa!!
Kwani zile mil 100 alizotoa mzee Sabodo zilienda wapi?CCM imejenga Ofisi kwa Fedha za Serikali
CCM imedhurumu viwanja vilivyojengwa na Wananchi na serikali
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Wakudadavuwa unahangaika sana.Tumefanya mistake kubwa sana maana huu ni usaliti kwa wapigania haki na waponga ufisadi.
Yaani tunalambishwa asali na kusahau mapambano ya haki.
Tumuombe chief Hangaya na CCM yake watujengee ofisi yetu.
Unataka uzifanyie nini?Zinakuhusu?Kwani zile mil 100 alizotoa mzee Sabodo zilienda wapi?
Akachomwe sindano ya kumuongezea uchungu!Anaandikaga huku kachanua miguu anaiwaza CHADEMA.Teh!Wakudadavuwa unahangaika sana.
Wewe kada wa CCM mambo ya Chadema hayakuhusuTumefanya mistake kubwa sana maana huu ni usaliti kwa wapigania haki na waponga ufisadi.
Yaani tunalambishwa asali na kusahau mapambano ya haki.
Tumuombe chief Hangaya na CCM yake watujengee ofisi yetu.
Zitumike kuanzisha ujenzi wa ofisi maana hilo ndilo kusudio lake. Au wewe hutaki chama kikuu cha upinzani nchini kiwe na ofisi kuu inayoendana na hadhi ya chama chenyewe?Unataka uzifanyie nini?Zinakuhusu?
Zilitolewa zisaidie shughuli za CDM mwaka ule na zikatumika.Zitumike kuanzisha ujenzi wa ofisi maana hilo ndilo kusudio lake. Au wewe hutaki chama kikuu cha upinzani nchini kiwe na ofisi kuu inayoendana na hadhi ya chama chenyewe?
Inakuhusu?Jitahidi kwanza uweze kutunza familia yako kabla hujaleta porojo hapa.
DahMuulize mwenyekiti Pamoja na safu nzima ya uongozi.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tumekubaliana kabisa office zetu zipo moyoni jamaniTunawanachama na wafuasi kama mil mbili.
Sasa kama tukichana elfu kumi kumi tuna uhakika wa kupata bil mbili.
Bil mbii tunasimamisha jengo la maana kabisa.
Au tukichangishana zitatafunwa kama tulivyotafuna pesa za mzee Sabodo?
Ngoja Erythrocyte anakuja kukupa muongozoTunawanachama na wafuasi kama mil mbili.
Sasa kama tukichana elfu kumi kumi tuna uhakika wa kupata bil mbili.
Bil mbii tunasimamisha jengo la maana kabisa.
Au tukichangishana zitatafunwa kama tulivyotafuna pesa za mzee Sabodo?