Unapenda kulelewa syo?? Ngoja waje masplaya wakuachie naniiii....
 
Umenikumbusha aisee niliingia kwenye mahusiano na lidem lizuri balaa aisee afu liko so decent nikafurahia kuwa sasa ntaenjoy tendo maana kumbe lilikuaga kwenye ndoa likazinguliwa likaamua ku -move on likaja Dar kuanza life from Mwanza. Nilikua disappointed sana yaani ni hamna kitu kabisa aisee...ni style moja tu ya mende na hapo linakua linasumbua balaa. Aisee nilikua nimeplan nitulie nalo nilipe bata shenzy type nikalipotezea mazima. Ila lizuri acha kabisa na hata ukikaa nalo unaenjoy sana kampani...huwa siishi kulitamani ila nikikumbuka there's nothing to enjoy zaidi ya kuingia cost sina hamu maana nililipenda nikawa nashinda nalo viwanja vya Masaki weekend liujue mji ila hapo tu likanivuruga...eti hata kushika mashine haliwezi...Lise..nge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…