Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Tusaidie kuwaambia maana watufanya Sisi mapoyoyo
Mama aongee na mbumbumbu juha zuzu vilaza huko huko, lakini kwa wale walioamka tutaendelea kumlaani ile ile laana ya kuishi bila mme
 
Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Umewaza kama Mimi, haiwezekani mtu adhamirie kupiga kiuno na miguu tu halafu aseme alitaka kuua
 
Hoja nzito Sana hii, lakini kwakua Chadema huwa wanataka kusikia Yale ambayo wanataka kuyasikia hawataamini.

Ipo siku ukweli utajulikana.
 
Mlitaka afe kwa risasi zenu kwa sababu Mungu ni mkuu kamponya kuwaonyesha Mungu ni mkubwa kuliko madaraka yenu.

Nyoyo zenu zimejaa Sonona kwa Mungu kuwaumbua na huo unyama wenu, miili yenu mizima lakini nyoyo zenu zimekufa kwa kujitwisha Uungu wa kutoa uhai wa wenzenu.

Mnachopaswa kutambua Mungu ni mwema sana.
Dah! Hapa Sasa ndo nagundua kumbe najisumbua tu kukujibu..😅
Kazi ipo
 
Haya co maneno yangu kama unayataka yapo ktk suratinnaasi, ukiona binaadamu yoyote anashabikia lile jaribio la mauaji kwa namna yoyote ile ujue huyo hana tofauti na shetani
Sawa, Ila nikukumbushe tu, anaweza asiwe miongoni mwa wanaoshabikia hili tukio, Ila akawa shetani kwa namna nyingine tofauti.🚶 Pengine wewe pia kwa namna moja Ana nyingine, Ni shetani usiejijua.
 


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Mama kumbe nae chenga tu
 
Alichokisema mama Samia ni kitu cha ajabu na hatari kwa taifa.
Mama Samia anapaswa kujua askari yoyote aliyefunzwa vyema hapaswi kufanya haya.
1/Kupiga risasi hata moja pasipo sababu.
2/Kukusudia kumuua mtu yoyote.
3/Kumdhulu mtu yoyote pasipo sababu.


Sasa, Mama Samia embu atuambue, hao askari wa serikali ya CCM wangewezaje kumimina hizo risasi sizizozidi tatu dhidi ya mtu kama Tundu Lissu, ambaye hakuwa na kosa lolote wala hakuwa na hatia yoyote.
 
Hahahahaha. Katika akili ya kawaida waliotaka kumuua Lissu hawangeweza kuonesha kwamba wao profesheno katika mambo hayo. Walipiga risasi ovyoovyo ili ionekane ni watu wasiokuwa wataalam ili vyombo vya dola visiwe implicated. Infact Lissu alipona kimiujiza na kupona kwake kulitokana na namna alivyojiposition kwenye gari.

Sawa. Tukibali basi sio polisi wa CCM walihusika. Je, kwa nini serikali hawakuhakikisha wanawapata hao wauwaji ili wajivue lawama hizi?
 
Mama aongee na mbumbumbu juha zuzu vilaza huko huko, lakini kwa wale walioamka tutaendelea kumlaani ile ile laana ya kuishi bila mme
Hayo ni mambo yake binafsi hayakuhusu kabisa, kaishi na mume, na paka au mbwa huwezi kumpangia, kaja kukulia shida?
 
Hahahahaha. Katika akili ya kawaida waliotaka kumuua Lissu hawangeweza kuonesha kwamba wao profesheno katika mambo hayo. Walipiga risasi ovyoovyo ili ionekane ni watu wasiokuwa wataalam ili vyombo vya dola visiwe implicated. Infact Lissu alipona kimiujiza na kupona kwake kulitokana na namna alivyojiposition kwenye gari.

Sawa. Tukibali basi sio polisi wa CCM walihusika. Je, kwa nini serikali hawakuhakikisha wanawapata hao wauwaji ili wajivue lawama hizi?
Mama Samia kakosea sana heri akatubu ?
 
Huo ndio ukweli, yaani serikali itake kumumaliza mtu kwa kutuma watu wa kumwaga risasi 30 bado mlengwa zimpate 16 tena mguuni. Haya amenusurika bado anapelekwa Government hospital anafanyiwa operation na huduma ya kwanza mpaka na kiongozi muandamizi wa serikali, bado anatoka salama? Tuhuma za ajabu sana hizi.
 
Nafsi inakusuta law kutetea uovu ili upate mkate tu.

Mungu ni mwema
Huyo Mungu wako na asikitike kwa kuwa na kiumbe kisichokuwa na ufahamu timilifu na kinachoandika kitu kisichojua.. n.b mi nipo CHAUMA!.
 
Back
Top Bottom