Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Kenge maji😂😅Hii nchi Bado sana,sasa tulikuwa na nafaka nyingi,bei ilikuwa poa,mkazuia wakulima wasiuze nje,baadae mksruhusu,nafaka ikauzwa nyingi nje,sasa mahitaji yakawa makubwa,bei ikapanda,sasa hv nafska imekuwa haba,mmeruhusu tuagize nje!!
Swali langu kwenu nyie kenge maji,kwani haiwezekani tulime wenyewe,mkulima apate faida,na mnunuzi apate unafuu wa kununua?
Mchele uwe buku moja,mkulima apate faida hata ya 300 kwa kila kilo,kwanini mnatuhusu nafska iuzwe nje mpaka bei inapanda juu ndani ya nchi
Tatizo ni umaskini we mkulima avune leo anashida leo umwambie autunze mpaka demand itakapokuwa kubwa...hana akiba, hana ghala za kuhifadhia...kinachofuata ni mchele unauzwa tena ukiwa shambani kabla hata ya kuvuna...Hizi ndio akili za mwafrika, tena mtanzania. Mchele umeuzwa nje leo tunaenda kununua mchele nje.
Mtaji mkubwa wa wanasiasa ni jamii kuwa na wajinga kama weweDunia ni kununua na kuuza. Unauza kwa wingi alafu unanunua kwa uchache. Unapata ela alafu unatoa ela. Huoni Urusi ana ndege Antonov lakini ananunua pia ndege za Boing au Airbus. Ulimwengu wa biashara ni Uza Nunua au Lima Uza.Acheni sera zenu za woga za lima, Vuna, Weka Akiba. Kisipokuwepo kuna sehemu kipo tutanunua, na Kikiwepo kuna sehemu hakipo tutapeleka.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Blah blah, blah, blah...pumba tupuSilijui mkuu niambie Mana yake. Naona ego iko kazini. Mie Ni kilaza sijui kitu Nina Imani wewe unajua mno ivyo nieleweshe msomi uliyegundua kisomo. Salute kwako brain kubwa.
Mie Nina uwezo mdogo mno mkuu inawezekana hata paka wako akawa
Na wewe utakuwa una emotional pain trauma , katika ongea yako unatumia rational brain Ila Ni emotional brain ndio inayoongoza. So Kama hapa naona ego, arrogance unayo. So unajijua kuwa ndiye pekee unayestahili kujua ama kumiliki kitu. Human emotions zinajulikana so hunishtui. Anapenda ku boast coz of ego, anayo fear,pride, greed, hakuna jipya. Binadamu Ni yule yule na atabakia kuwa yuleyule Kama ambavyo maji yataendelea kuteremkia bondeni ama chuma kuvutwa na sumaku. Your survival instincts Ni kukutengenezea ama kulinda your self image sema mie nimechagua self actualization. Napenda innerself yangu Basi wala sihitaji nionekane. Mie kwanza kilaza wewe uko juu usikute hata umeshagundua alfabeti zingine ama bado unatumia hizihizi ambazo wajanja wenye akili waligundua.
Elewa kuwa am assshoole,am dumbsheet ,am loser,am failure, and all related to that.
Buy you're the top of the Everest peak,yaani wewe Ni mjanja ndiye unayejua Mana ya Hilo neno kuliko wengine Mana utakuwa umeligundua.
Let me leave your ego keep growing.
Unalima ww ujui mvua n shidaTunapigwa na vitu vizito.
Mchele wetu, mahindi, maharage vimeenda wapi?
Njaa ni kali imefikia watoto wanaiba mandaz huko mbeya mkoa wenye chakula.
Nchi imekuwa ngumu
Si walisema wanamwinua mkulima?Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei”
Lengo la Serikali mchele ushuke bei.
======
Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema “Tunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika"
Tanzania Web
Hiiya mchele kutoka nje Zanzibar ipo sana na still maisha magumu vile vile. Huku Kuna mchele unaitwa Mapembe ukiiiva ukiumwaga kwenye sahan kama umemwaga mchanga na hauna Radha kabisa pia Kuna mchele unaitwa jasmini nkNgoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.
Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Huwa nnawaona wajinga watu wanaokalili viji-terminology vya kiingereza alafu wanajiona waelevu.Unaifahamu vizuri concept ya demand & Supply?? Uzuri wa market inaongozwa na hizo forces 2 na hapo ndo tunapata Market price.
Ni mtizamo hasi tu mbona Zanzibar karibu 90% ya mchele wanaotumia miaka yote unatoka nje?!!ndio maana kule unakuta mchele siku zote unachezea 1200-.1500/kilo .labda mwaka huu tu.Kule mchele wa bara ni anasa!!wao kitu mapembe.Ngoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.
Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei”
Lengo la Serikali mchele ushuke bei.
======
Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema “Tunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika".
Dr Venance Fupi.Ngoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.
Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Bora umefungua brain yako nimeishajua imejazwa na Nini na Ni ngumu kuobadili so ngoja nikuache. Ni sawa mtu mwaathirika na drugs ama kamari ama sex ama amejaa chuki na wivu unadhani utamuweza. Iko cheap mno your mind. Make your mental to be strong pyschologically since you're lacking mental skillsBlah blah, blah, blah...pumba tupu
Tatizo ni sera si wakulima.Tatizo ni umaskini we mkulima avune leo anashida leo umwambie autunze mpaka demand itakapokuwa kubwa...hana akiba, hana ghala za kuhifadhia...kinachofuata ni mchele unauzwa tena ukiwa shambani kabla hata ya kuvuna...
Mchele utaokuja ni ule ulokuwa ghalani kitambo.Wasije kutuletea michele ya "Kitumbo" au "VIP" yenye kudunda kama mpira wa plastic ,TFDA inatakiwa mfanye kazi yenu ipasavyo kabla mchele haujaingia sokoni.
0.0%Bora umefungua brain yako nimeishajua imejazwa na Nini na Ni ngumu kuobadili so ngoja nikuache. Ni sawa mtu mwaathirika na drugs ama kamari ama sex ama amejaa chuki na wivu unadhani utamuweza. Iko cheap mno your mind. Make your mental to be strong pyschologically since you're lacking mental skills