Serikali yatoa kibali kuagiza mchele nje ya nchi
Hii nchi Bado sana,sasa tulikuwa na nafaka nyingi,bei ilikuwa poa,mkazuia wakulima wasiuze nje,baadae mksruhusu,nafaka ikauzwa nyingi nje,sasa mahitaji yakawa makubwa,bei ikapanda,sasa hv nafska imekuwa haba,mmeruhusu tuagize nje!!
Swali langu kwenu nyie kenge maji,kwani haiwezekani tulime wenyewe,mkulima apate faida,na mnunuzi apate unafuu wa kununua?
Mchele uwe buku moja,mkulima apate faida hata ya 300 kwa kila kilo,kwanini mnatuhusu nafska iuzwe nje mpaka bei inapanda juu ndani ya nchi
Kenge maji😂😅
 
Hizi ndio akili za mwafrika, tena mtanzania. Mchele umeuzwa nje leo tunaenda kununua mchele nje.
Tatizo ni umaskini we mkulima avune leo anashida leo umwambie autunze mpaka demand itakapokuwa kubwa...hana akiba, hana ghala za kuhifadhia...kinachofuata ni mchele unauzwa tena ukiwa shambani kabla hata ya kuvuna...
 
Dunia ni kununua na kuuza. Unauza kwa wingi alafu unanunua kwa uchache. Unapata ela alafu unatoa ela. Huoni Urusi ana ndege Antonov lakini ananunua pia ndege za Boing au Airbus. Ulimwengu wa biashara ni Uza Nunua au Lima Uza.Acheni sera zenu za woga za lima, Vuna, Weka Akiba. Kisipokuwepo kuna sehemu kipo tutanunua, na Kikiwepo kuna sehemu hakipo tutapeleka.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Mtaji mkubwa wa wanasiasa ni jamii kuwa na wajinga kama wewe

USSR
 
Nipo Holili hapa nashangaa ati mchele unatoka Kenya unaingia Tanzani na ni mwezi uliopita tu mchele ulikua unatoka huku unaenda kule, hivi Kenya wanakilimo gani cha mpunga?
 
Silijui mkuu niambie Mana yake. Naona ego iko kazini. Mie Ni kilaza sijui kitu Nina Imani wewe unajua mno ivyo nieleweshe msomi uliyegundua kisomo. Salute kwako brain kubwa.
Mie Nina uwezo mdogo mno mkuu inawezekana hata paka wako akawa

Na wewe utakuwa una emotional pain trauma , katika ongea yako unatumia rational brain Ila Ni emotional brain ndio inayoongoza. So Kama hapa naona ego, arrogance unayo. So unajijua kuwa ndiye pekee unayestahili kujua ama kumiliki kitu. Human emotions zinajulikana so hunishtui. Anapenda ku boast coz of ego, anayo fear,pride, greed, hakuna jipya. Binadamu Ni yule yule na atabakia kuwa yuleyule Kama ambavyo maji yataendelea kuteremkia bondeni ama chuma kuvutwa na sumaku. Your survival instincts Ni kukutengenezea ama kulinda your self image sema mie nimechagua self actualization. Napenda innerself yangu Basi wala sihitaji nionekane. Mie kwanza kilaza wewe uko juu usikute hata umeshagundua alfabeti zingine ama bado unatumia hizihizi ambazo wajanja wenye akili waligundua.


Elewa kuwa am assshoole,am dumbsheet ,am loser,am failure, and all related to that.
Buy you're the top of the Everest peak,yaani wewe Ni mjanja ndiye unayejua Mana ya Hilo neno kuliko wengine Mana utakuwa umeligundua.
Let me leave your ego keep growing.
Blah blah, blah, blah...pumba tupu
 
Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara, Dkt.Ashatu Kijaji, amesema serikali imetoa vibali kwa baadhi ya wafanyabiashara nchini kuingiza mchele tani elfu tisini, ambazo zinatarajiwa kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu.

Waziri Kijaji amesisitiza kuwa, serikali haitarajii ongezeko la bei ya bidhaa zinazotumika kwa wingi katika kipindi cha mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani na kwaresma, ikiwemo sukari na unga wa ngano.
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei”

Lengo la Serikali mchele ushuke bei.

======

Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.

Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema “Tunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika"

Tanzania Web
Si walisema wanamwinua mkulima?
 
Ngoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.

Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Hiiya mchele kutoka nje Zanzibar ipo sana na still maisha magumu vile vile. Huku Kuna mchele unaitwa Mapembe ukiiiva ukiumwaga kwenye sahan kama umemwaga mchanga na hauna Radha kabisa pia Kuna mchele unaitwa jasmini nk
 
Ngoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.

Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Ni mtizamo hasi tu mbona Zanzibar karibu 90% ya mchele wanaotumia miaka yote unatoka nje?!!ndio maana kule unakuta mchele siku zote unachezea 1200-.1500/kilo .labda mwaka huu tu.Kule mchele wa bara ni anasa!!wao kitu mapembe.
 
Hilo ni jambo jema.
Sasa wajipange kwenye suala la kusimamia mara hizo tani za mchele zitakapo wasili.

Nashauri;
Vyombo vyote visimamie ili wafanyabiashara na wenye tamaa wasije kuhujumu lengo lililo kusudiwa.
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei”

Lengo la Serikali mchele ushuke bei.

======

Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.

Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema “Tunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika".

Wasije kutuletea michele ya "Kitumbo" au "VIP" yenye kudunda kama mpira wa plastic ,TFDA inatakiwa mfanye kazi yenu ipasavyo kabla mchele haujaingia sokoni.
 
Ngoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.

Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Dr Venance Fupi.
 
Wiki hii katika kipindi cha dakika 45 cha ITV, Prof Lipumba alizungumza mengi. Mojawapo alishauri serikali kuingiza chakula chake kwenye soko ili bei ya chakula ishuke.

Sasa inaonekana serikali imefanyia kazi ushauri wa Lipumba kwa kuruhusu kuagiza nje.

Vipi serikali inasubiri nini kuingiza mahindi yake sokoni ili bei ishuke mana muda wa mavuno umekaribia itanunua tena? (Lipumba) au kiuchumi inagoma?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Blah blah, blah, blah...pumba tupu
Bora umefungua brain yako nimeishajua imejazwa na Nini na Ni ngumu kuobadili so ngoja nikuache. Ni sawa mtu mwaathirika na drugs ama kamari ama sex ama amejaa chuki na wivu unadhani utamuweza. Iko cheap mno your mind. Make your mental to be strong pyschologically since you're lacking mental skills
 
Tatizo ni umaskini we mkulima avune leo anashida leo umwambie autunze mpaka demand itakapokuwa kubwa...hana akiba, hana ghala za kuhifadhia...kinachofuata ni mchele unauzwa tena ukiwa shambani kabla hata ya kuvuna...
Tatizo ni sera si wakulima.

Ukiwa na sera nzuri utapata wakulima wakubwa na wale wadogo kisha wahakikisha wakulima wakubwa wazalisha mazao yote muhimu kufikia kuwa na akiba ya kutosha.

Tanzania bado haina wakulima wengi wakubwa ambao waweza kuendesha sekta ya kilimo kiuhakika.

Ni jukumu la waziri wa kilimo na chakula akishirikina na wataalam wake kuhakikisha Tanzania inakuwa na chakula cha kutosha.
 
Wasije kutuletea michele ya "Kitumbo" au "VIP" yenye kudunda kama mpira wa plastic ,TFDA inatakiwa mfanye kazi yenu ipasavyo kabla mchele haujaingia sokoni.
Mchele utaokuja ni ule ulokuwa ghalani kitambo.

Mkuu, wapenda mchele gani Basmati ya India (Tropy Indian) huu ni ghali hivyo sahau.

Halafu kuna Tilda Pure Basmati, Long Grain essential kwa wale vegans.

Yaani kuna aina nyingi sana ukichanganya na ule mchele GM, lakini yote ina matumizi tofauti kama kwa pilau, biriani, Paela na sushi.

Eee Mungu baba wa mbinguni, tusaidie watanzania tupache mchele mzuri.
 
Bora umefungua brain yako nimeishajua imejazwa na Nini na Ni ngumu kuobadili so ngoja nikuache. Ni sawa mtu mwaathirika na drugs ama kamari ama sex ama amejaa chuki na wivu unadhani utamuweza. Iko cheap mno your mind. Make your mental to be strong pyschologically since you're lacking mental skills
0.0%
 
Back
Top Bottom