kisana kiki
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 266
- 287
Offcourse Kwa social media hata mirinda na fanta ndipo zinapokutana na nyie vijana mliopotea
National address ina protocols zake
Na huwezi kuzijua if you dwell on insta, Facebook, wosapu, etc.
Endeleeni kunywa mirinda
ninajua hakuna mazingira fair kisiasa bt mapambano dhidi ya katiba mpaya yanaleta tumaini kwa wapenda haki kuelekea 2025.Kwa akili yako unafikiri kwa nini nchi haikuchukuliwa mwaka 2010, 2015 na 2020?
Haya “matumaini” hewa yanapaswa kutupwa kule then lifanyike linalopaswa kufanyika. NEC hii na Katiba ya sasa haiwezi kumkabidhi Nchi mtu mwingine zaidi ya mgombea wa CCM. Kwa sasa hata Kibajaji au Msukuma akisimamishwa, atatangazwa mshindi
Mbowe, Msigwa, Heche, Lema na Mnyika wote wamekuwa na maisha bora tena chini ya katiba hii hii ya mwaka 1977.Huko shule mlienda kusomea ujinga au?,hayo maisha bora yanakujaje bila kuwa na katiba imara[emoji706][emoji706][emoji706].....,watanzania bado tuna safari ndefu
Mbowe, Msigwa, Heche, Lema na Mnyika wote wamekuwa na maisha bora tena chini ya katiba hii hii ya mwaka 1977.
Sasa wewe wanakwambia ili upate maisha bora mpaka kuwe na katiba mpya?
Zinduka wewe ZOMBIE umeshawekwa BOND.
Jembe, Mungu akubarikia. Njoo nyumbani tumekumiss sana, na unahitajika kuliko wakati wowote ule.Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266
Tundu Lisu ni nani hapa Tanzania?Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266
Kwa kutumia tu milango ya fahamu unamuonaje tundu lisuTony Blair alikuwa Ikulu mwezi uliopita na Ameteuliwa na Rais kuwa Mwakilishi promoter wa Nchi ya Tanzania Je utaihama nchi?
Kwani hapa si unaongea na taifa?Mamlaka unatoa wapi?Tofauti nyenu ni kwamba yeye katoa taaruifa ila wewe unaropoka tu wkati wowote ila nyie wote ni wananchiHivi huyu bwana anatoa wapi moral authority ya kusema analihutubia taifa? Taifa gani linalohutubiwa na huyu bwana,ubeligiji, Tanzania au Kenya maana kwa Mara ya mwisho alikuja akaishia Kenya?
Hivi taifa linaweza hutubiwa na yeyote? Hata Mimi mwalimu niliyeko huku mpigamiti - Liwale naweza toa alert kuwa Leo watu wawe makini kunisikiliza kwani nitahutubia taifa!?
Serikali iwe makini na huyu mtu,hafai kabisa,anapenda kujipa mamlaka ambayo si ya kwakwe.
By the way Mr Robert Amsterdam hajambo huko ubeligiji?
Jembe, Mungu akubarikia. Njoo nyumbani tumekumiss sana, na unahitajika kuliko wakati wowote ule.
Duh....kuhutubia taifa?! Yeye Lissu skiwa Kama Nani? Ni Rais tu ndiye anayeweza kuhutubia taifa....ni Rais wa JMT ndiye anayeweza kuhutubia taifa...Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
View attachment 2062266
Jipe na weweWatu wanajipa mamlaka ambayo hawana.
Anahutubia Taifa kama nani??
Wanachofanya ni kumtafutia au kumtengenezea mazingira ya kuendelea kuonekana na wazungu huko ubelgiji kwamba ana umuhimu kwao.Mgombea Urais huyu alitutangazia kifo cha Rais wetu mpendwa tena mpaka ugonjwa uliomuua ilihali dola ilikuwa bado haijaamua kutuambia....
Wasiojua protocal, anapokufa Rais wa nchi huwezi tu kutangaza hovyohovyo harakaharaka maana kifo ni kitu cha ghafla na kwa wakati huo lazima dola ijipange kwanza kwa kuweka mambo sawa...Rais ni kiongozi wa dola, anapokufa lazima watu waitane kwanza waweke mambo sawa na kuset utaratibu na kuinform inner circle yote juu ya mipango na utaratibu...
Mgombea Urais huyu akatutangazia Kifo cha Mlinzi wa Rais Marehemu JPM na ugonjwa wake uliomuua tena kwenye media kubwa kabisa duniani BBC, ilihali huyu mlinzi alikuwa hai na mzima wa Afya kabisa..
Tunaweza kumuamini mtu kama huyu, eti tumpigie kura na kumpa dola...?
NduguHapo Hotuba yake nzima itakuhusu:
- Mbowe
- Katiba mpya
- Tume huru ya uchaguzi
- Kuhusu yeye mwenyewe
Wakati mahitaji ya Wananchi ni:
- Gharama za maisha
- Ajira
- Umeme
- Maji
- Usalama.
Hawa watu ndio maana hakuna mwenye akili timamu huwa anawatilia maanani kabisa.