Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema kuwa mkataba wa DP World wa uendelezaji na uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam ni wa miaka 30 na utendaji kazi wa DP World utakuwa ukipimwa kila baada ya miaka mitano.✍️
Ahh bana, imeuzwa.
 
Naangali hapa hafla la utiaji saini mkataba wa Bandari,

Kuna mzungu anamwelekeza mwarabu nini Cha kufanya,

Na aliposaini mahala pake, anakataa kwenda kupata picha ya pamoja.

Sasa naelewa, nyuma ya Mwarabu wa DP World yupo mkoloni wetu.

HAKIKA, kumbe Mwarabu ni kibaraka wa mzungu.

Bado Tutaona mengi.
Mzungu anaajiriwa na mwarabu sawa na Guardiola alivyoajiriwa na Man City halafu akapeleka kombe kule Saudi Arabia.
 
Vilevile, Ishukuru serikali kwa kufanya marekebisho kwa vifungu kandamizi vya mkataba ambavyo TEC walivishinikiza virekebishwe.
Tunawashukuru TEC mwambukuzi slaa na watanzania wote waliotoa maoni yao mama samia ni msikivu na serikali ya CCM ni sikivu kwa wananchi wake. Tuendelee kumuunga mkono Mh.rais kwa maendeleo ya Mama Tanzania [emoji1241]
 
Mama kaupiga mwingi. Nimehuzunika kina Mdude, Mwabukusi, TEC na CHADEMA kukosa agenda. Ninawashauri kwa sasa waipinge Ihefu kuwaonea Yanga. Ihefu ni kama DP World kimatendo
 
Kwa hiyo wewe unabishana na bunge na wabunge? Sio miaka mia ulikuwa ni mkataba wa milele! Hapa hatuongelei tetesi ni jambo lililojadiliwa bungeni kabisa sio swala la wapinzani!

Tumebiwa maoni ya wananchi yamesikilizwa na kuzingatiwa ,wewe unafikiri maoni gani?
Hiyo hafla ya utiaji saini huo mkataba ilifanyika lini na wapi?
 
wapo, mashavu yamewashuka kama soksi zilojaa tope.
Tec hawakupinga mkataba wewe Bibi ,walitaja vipengele vilivyohitaji maboresho ukiwepo muda wa mkataba na Uhuru wa serikali kujitoa ,
Na kama serikali imezingatia ulitaka waendelea kususa

Ila ulivyo punguani huwezi kuona Hilo unataka ligi za kidini kwenye masuala ya kitaifa jinga kabiasa ,badilika
 
Pesa ya Gesi ya Mtwara imetumiwa wapi?
Pesa ya Mgodi GGM imetumiwa wapi?
Fedha ya Tanzanite umeiona wapi?
Deni la Trilioni zaidi ya 60 kwa miaka 2.5 imetoka wapi kama tuna fedha?
Fedha zaTANAPA zimekwenda au zinatumika wapi?
Am very sorry to say that, some youth are using their "tool to sit" in other words 'bataks" to think and reason.
DP World Hoyeee.
 
Tec hawakupinga mkataba wewe Bibi ,walitaja vipengele vilivyohitaji maboresho ukiwepo muda wa mkataba na Uhuru wa serikali kujitoa ,
Na kama serikali imezingatia ulitaka waendelea kususa

Ila ulivyo punguani huwezi kuona Hilo unataka ligi za kidini kwenye masuala ya kitaifa jinga kabiasa ,badilika
Waraka unakuwa toilet paper sasa.
 
Back
Top Bottom