Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
Hatamimj nakubali wezi wametuchelewesha kweli sasa haojamaa waanze fasta siokuchelewa tena wajinga wamekata kona sasa wamerudi kwenye katiba mtuache kwanza tutatue matatizo yawananchi
Kazi imeshaanza leo mkataba umesainiwa DP WORLD hawachelewi kuanza kazi.
 
Tangu lini kiumbe dhaifu, kiumbe anaetii hisia wala asitumie akili, akatenda kwa busara ?!! Ebo, kwani mlitegemea tofauti ?!! Kiumbe alieumbwa kua mlezi wa watoto leo awe KIONGOZI MKUU WA NCHI na ati akatoshe ?!! Hakika waliotegemea maamuzi makini kutoka kwa kiumbe huyu hakika hakuwaza kwa umakini kutarajia tofauti.

labda niseme tu, tegemeeni mauozo zaidi na zaidi

Screenshot_20220316-152322_Chrome Beta.jpg
 
Back
Top Bottom