Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Nilikuwa najaribu kupima umbali wa kutoka JNIA hadi Ufipa na umbali wa kutoka viwanja vya Buibui pale mwananyamala Kambangwa hadi Morocco hotel alipopigwa risasi yule binti mwanafunzi.

Kiukweli inawezekana kabisa Chadema siyo watu wa vurugu hadi pale wanapovurugwa.
Leo hawajavurugwa tumeshuhudia amani ikitamalaki.

Siasa siyo Uadui..... Tunajenga nyumba moja.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hata akiwa jogoo huyo ndiyo rais wako baada ya October
Tatizo la Lissu bado kinda sana, bado litoto na akili za kitoto..nadhani haja mature upstairs..atakuwa alirushwa stage mojawapo ya maturity. Tunaweza kumwachia tu sababu hajui atendalo labda
 
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
niliona clip ya hayati akiwaambia watawala wa sasa kuwa "waseme hii ni serikali ya ccm na sio kusema mimi..."

sasa mh Tundu amekosea nini kusema hivyo?
 
Anadhani Lissu anaweza kufika bei kama watumwa walio tumiwa na mwisho kutupwa kama taulo chafu
Ajiweke karibu na serikali ili iweje??

Mnafikiri TL ni kama hao akina Nassari, Lusinde, Lijuakali n.k?
 
Huyu Mbeba maono najua haiwezekani Ila ikitokea eti ameunga juhudi Chadema wasijihangaishe kumtafta mtu wa kumshughurikia hiyo kazi nitaifanya mimi sababu haiwezekani watu tunavuka karibu mikoa minne tunatumia pesa na bado anasema kesho tumsindikize na bado tunafanya hivyo huku tukitumia muda na pesa halafu aje kuunga juhudi Aiseee asithubutu kufanya huo ujinga TUNAMPENDA LISSU WETU MBEBA MAONO WETU HAKIKA HUYU NDIO CHAGUO LA MUNGU
 
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
CCM mtakaa chini tu nyie subirini mtatuelewa vizuri sisi CDM.
 
Nilikuwa najaribu kupima umbali wa kutoka JNIA hadi Ufipa na umbali wa kutoka viwanja vya Buibui pale mwananyamala Kambangwa hadi Morocco hotel alipopigwa risasi yule binti mwanafunzi.

Kiukweli inawezekana kabisa Chadema siyo watu wa vurugu hadi pale wanapovurugwa.
Leo hawajavurugwa tumeshuhudia amani ikitamalaki.

Siasa siyo Uadui..... Tunajenga nyumba moja.

Maendeleo hayana vyama!
tatizo linakuja pale saburi (asante Mungu liliangukia pua kule ng'ambo ya feri!) linapotumika kufikiria badala ya ubongo.
 
Nilikuwa najaribu kupima umbali wa kutoka JNIA hadi Ufipa na umbali wa kutoka viwanja vya Buibui pale mwananyamala Kambangwa hadi Morocco hotel alipopigwa risasi yule binti mwanafunzi.

Kiukweli inawezekana kabisa Chadema siyo watu wa vurugu hadi pale wanapovurugwa.
Leo hawajavurugwa tumeshuhudia amani ikitamalaki.

Siasa siyo Uadui..... Tunajenga nyumba moja.

Maendeleo hayana vyama!
Umeanza kuwa na akili kijana
 
Wadau inawezekana Lowassa angeweza kuwa Rais wa Tanzania?
 
Usitufanye wajinga na kupotosha watu,huo mkutano tumeangalia wengi hakuna sehemu ameongea vibaya ,we utakuwa na utindio wa ubongo kama hujamwelewa
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
 
Kwa hiyo bbc na aljezeera wakisema na wewe unatik kabisa...huu utumwa wa akili utu uzimani ni aibu kwa familia yako

Hakuna namna, yaani tiki kubwa maana hakuna wa kuwafungia. Nje ya hapo ni mwendo wa mitandao tu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hakuna mahali katika mazungumzo yake ya leo ya kumkashifu mtu,acha chuki binafsi
 
Msitetemeke na maneno ya hiyo muhaini wa nchi, MUNGU anamuona na atamhukumu vile vile,chuki zake ni uchu wa madaraka na kwa sasa atasema lolote ilmradi wazungu washenzi wamsikie na kumsifia
We sista una maneno ya kikatili kama kocha wa Nyani Fc
 
Tatizo la vijana wetu kama wewe ni kijana ni fikra ndogo. Kutangaza Lissu kufika sio kutangaza watu bali tukio la mwanasiasa aliyepigwa risasi kurudi baada ya matibabu. Hii isingetakiwa kuwa kichama hata kama angekuwa wa CCM angetakiwa aonyeshwe kama Mtanzania. Tatizo kila kitu mnafikiria kisiasa zaidi badala ya Kitanzania. Hivyo unaonyesha kitu ambacho nakisema vyombo vya habari ni vya propoganda zaidi
Mavi-jana mengi ya TZ ni utopolo!
 
Back
Top Bottom