Kwani kuchomekewa ndio kugongwa.ni mambo ya kawaida tu ili mradi mungu ameepusha hamjagongana.bahati nzuri picha yake imeonekana haya wenye kujua sheria mumsaide kama inawezekana apaye haki yake.
 
Jamaa mwenyewe pia ni walewale, akipata nafasi naye anaweza umiza watu. Mwishoni anasikika ati mjomba wake ni mbunge, atamtoa tu.
 
Salute mingi.....excellent!!!!!!
 
TRA ,TBS, TPA, TAA nk sio mihimili ya nchi inayozungumziwa kwenye sheria. Hizo ni taasisi/mashirika ya umma.
Mihimili inayozungumziwa kwenye sheria ni
  • Serikali
  • Bunge
  • Mahakama
 
Zingatia umri na uzoefu wa dogo kimaisha ...
Yaah huenda chalii hajapitia ama alh kiumri si mtu mzima sana, hata sauti yake inadhihirisha hilo.

Ila hapo hakutakiwa kusubiri huyo jamaa ashuke angesepa zake ama lah yeye ndie ambae angeanza kushuka labla yake.

Jamaa katumia hiyo nafasi kujitetea yeye na kuaminiwa kabla dogo hajashuka akiami yupo kwenye haki na ana mashahidi.
 
Ukiangalia vizuri hiyo video utaona kabisa video imepigwa ndani inaonyesha mlinzi yuko wapi, kuna walinzi wangapi getini vitu ambavyo havionekani Google maps.
Kwan kipi kimemfata mwenzie mchukua video au eneo lililochukuliwa video?
Hiv kwan huyo alierekodi hio video alikuwa na nia ya kurekodi hilo eneo? Ama wao (hao wanamwambia chuchumaa) ndio wametengeneza mazingira ya eneo lao kurekodiwa
 
Kosa kwa mujibu wa sheria gani? Tutajie kifungu
 

Utoto wa dogo umemponza. Utakuta hata leseni hana.
 
Mfano nchi ipi?
 
Nimesikiliza na kuangalia clip yote sijaona sehemu imetamkwa unajua Mimi nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…