Nisome vizuri utanielewa kama ni muelewa, otherwise, don't waste yours and my time with stupid questions.Kitimoto kimeingiaje tena hapa? Kwa nini wewe unateseka watu wakijisosoma kitimoto na vinywaji vyao pendwa?!
Achana na mimi, jibu hoja kama una uwezo huo.Mama mwezi huu sijaona utoke naona unawatuma wakuwakilishe tu wewe umepumzika kdg.
Mambo kama haya ya utayakuta kwenye shithole countries!Hivi soldiers wa nchi za majuu wanaweza kufanya hivi kwa raia wao?
Mambo kama haya ya utayakuta kwenye shithole countries!
Nchi zilizoendelea ni nadra sana kukutana na wanajeshi mtaani.
Mjomba wake mbungee mkuu...!!Hawa vijana wanaotegemea wajomba wao wana shida sana....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kelele zoote kumbe unategemea Mjomba Mbunge?? Tukio limeanzia katikati hata sisi hatujui mlianzia wapi maana tumeona tu hapo ulipoambiwa paki pembeni...Wewe umeendelea kurekodi picha kwenye maeneo nyeti ya serikali...Hilo ni kosa...
Mm siungi mkono unyanyasaji lakini hata huyu dogo nadhani ana matatizo...
Jengo lipo la serikali ukilitaka ukakosa picha zake.Hizo ni sheria zamani kabla ya technology enzi za vita vya ukombozi.Sio kwa ulimwengu huu wa technology za maendeleo ya upigaji picha yapo juu.Hawa vijana wanaotegemea wajomba wao wana shida sana....😁😁😁😁kelele zoote kumbe unategemea Mjomba Mbunge?? Tukio limeanzia katikati hata sisi hatujui mlianzia wapi maana tumeona tu hapo ulipoambiwa paki pembeni...Wewe umeendelea kurekodi picha kwenye maeneo nyeti ya serikali...Hilo ni kosa...
Mm siungi mkono unyanyasaji lakini hata huyu dogo nadhani ana matatizo...
Upotezwaji hauendi kiwepesi hivyo. Ukipoteza watu kwa makosa mepesi mepesi kama la huyo kijana hiyo hiyo system inakupoteza wewe.unaweza kupotea natusikuone mpaka kiama pasipo jali wewe ni mtoto wa nani?
Tuna tatizo la kushughulikia tatizo dogo kwa nguvu kubwa. Barabarani kunatokea mambo mengi wakati mwingine mpaka ajali ndogo za kukwaruzana zinatokea na ni kawaida.Hawa vijana wanaotegemea wajomba wao wana shida sana....😁😁😁😁kelele zoote kumbe unategemea Mjomba Mbunge?? Tukio limeanzia katikati hata sisi hatujui mlianzia wapi maana tumeona tu hapo ulipoambiwa paki pembeni...Wewe umeendelea kurekodi picha kwenye maeneo nyeti ya serikali...Hilo ni kosa...
Mm siungi mkono unyanyasaji lakini hata huyu dogo nadhani ana matatizo...
Achaneni na faiths za watuTeh! Teh! Teh! Kumbe nae huwa ana close. Lakini na wasi wasi atakuwa anashinda tu njaa.
Punguza hasira kidogo!! [emoji847][emoji847]Hata tuseme ni kweli aliwatukana,Sasa mtu kukutukana tu ndio mumshukie wengi hivyo kama mmeona gaidi? Punguzeni arrogance wana usalama wetu, mnapenda sana kudeal na vitu petty na kuoneshana umwamba, hii nchi ina mambo mengi sana ya kushughulikia, watu wa muhimu mliopewa dhamana mnapambana na watukanaji barabarani. Haiingi akilini kosa la kutukana adhabu yake iwe hiyo "chaos" yote iliyotokea hapo.
Kutukana mbona mnatukanwa na wake zenu na waume zenu kila siku majumbani na hamna kitu mnafanya?
Viti vya ofisi za umma vinakaliwa na washamba na malimbukeni!
Una akili ndogo sana we jamaaSheria inakuruhusu hata wewe kufanya arresting linapotokea kosa
Ndio kimbilio kwakeMjomba wake mbungee mkuu...!!
Hakuna mtu hapoMjombangu mbunge atakuja kunitoa🤣🤣
Ndio kimbilio kwake
Mtambue tu kwamba sio kila mtu ana access na vigogo wa nchi hii
Ahaa haaaah Lady Gaga yuko busy na album yake. Si unajua producer Msongati hampi muda?Lady gaga anamaoni gani kuhusu tukio hili?
Nenda Polisi Moja kwa Moja. Au ofisi yeyote ya serikali ya mtaa.Jamani elimishaneni achani majungu.. kiudereva ukiwa barabarani angetakiwa hata kama amehisi amemkosea angetakiwa afanyenini, kw kuwa alikuwa anaelekezwa akishurutishwa kusimama what's could have