Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Kitimoto kimeingiaje tena hapa? Kwa nini wewe unateseka watu wakijisosoma kitimoto na vinywaji vyao pendwa?!
Nisome vizuri utanielewa kama ni muelewa, otherwise, don't waste yours and my time with stupid questions.
 
Mambo kama haya ya utayakuta kwenye shithole countries!
Nchi zilizoendelea ni nadra sana kukutana na wanajeshi mtaani.

Hayupo mwenye akili timamu wa kutetea ubazazi wao huo.

Wangapi madhila yao hayajulikani kwa kutoripotiwa kadhia zao.

Itabidi dogo awekewe ulinzi. Hawa watu si wema.
 
Hawa vijana wanaotegemea wajomba wao wana shida sana....😁😁😁😁kelele zoote kumbe unategemea Mjomba Mbunge?? Tukio limeanzia katikati hata sisi hatujui mlianzia wapi maana tumeona tu hapo ulipoambiwa paki pembeni...Wewe umeendelea kurekodi picha kwenye maeneo nyeti ya serikali...Hilo ni kosa...

Mm siungi mkono unyanyasaji lakini hata huyu dogo nadhani ana matatizo...
 
Hawa vijana wanaotegemea wajomba wao wana shida sana....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kelele zoote kumbe unategemea Mjomba Mbunge?? Tukio limeanzia katikati hata sisi hatujui mlianzia wapi maana tumeona tu hapo ulipoambiwa paki pembeni...Wewe umeendelea kurekodi picha kwenye maeneo nyeti ya serikali...Hilo ni kosa...

Mm siungi mkono unyanyasaji lakini hata huyu dogo nadhani ana matatizo...
Mjomba wake mbungee mkuu...!!
 
Hawa vijana wanaotegemea wajomba wao wana shida sana....😁😁😁😁kelele zoote kumbe unategemea Mjomba Mbunge?? Tukio limeanzia katikati hata sisi hatujui mlianzia wapi maana tumeona tu hapo ulipoambiwa paki pembeni...Wewe umeendelea kurekodi picha kwenye maeneo nyeti ya serikali...Hilo ni kosa...

Mm siungi mkono unyanyasaji lakini hata huyu dogo nadhani ana matatizo...
Jengo lipo la serikali ukilitaka ukakosa picha zake.Hizo ni sheria zamani kabla ya technology enzi za vita vya ukombozi.Sio kwa ulimwengu huu wa technology za maendeleo ya upigaji picha yapo juu.
 
Mwenye tatizo ni huyo dogo kukubali kwa hiari yake kutekwa.
 
unaweza kupotea natusikuone mpaka kiama pasipo jali wewe ni mtoto wa nani?
Upotezwaji hauendi kiwepesi hivyo. Ukipoteza watu kwa makosa mepesi mepesi kama la huyo kijana hiyo hiyo system inakupoteza wewe.
 
Hawa vijana wanaotegemea wajomba wao wana shida sana....😁😁😁😁kelele zoote kumbe unategemea Mjomba Mbunge?? Tukio limeanzia katikati hata sisi hatujui mlianzia wapi maana tumeona tu hapo ulipoambiwa paki pembeni...Wewe umeendelea kurekodi picha kwenye maeneo nyeti ya serikali...Hilo ni kosa...

Mm siungi mkono unyanyasaji lakini hata huyu dogo nadhani ana matatizo...
Tuna tatizo la kushughulikia tatizo dogo kwa nguvu kubwa. Barabarani kunatokea mambo mengi wakati mwingine mpaka ajali ndogo za kukwaruzana zinatokea na ni kawaida.

Hayo ni matatizo madogo madogo ya kinidhamu ambayo ni ya kutatuliwa na traffic tu na si vinginevyo. Kama hakukutokea ajali mfano kugonga mtu n.k hao askari walipaswa kujikita kwenye shughuli zao na si kutumia nguvu na rasilimali za nchi kama hizo silaha kufundishana adabu kwenye mambo madogo madogo yaliyo nje ya kazi yao.

Labda kama huyo kijana amefanya kosa ambalo kweli ni tishio linalohitaji kushughulikiwa kwa namna walivyolishughulikia, kinyume na hapo walipaswa kumpuuza.
 
Hata tuseme ni kweli aliwatukana,Sasa mtu kukutukana tu ndio mumshukie wengi hivyo kama mmeona gaidi? Punguzeni arrogance wana usalama wetu, mnapenda sana kudeal na vitu petty na kuoneshana umwamba, hii nchi ina mambo mengi sana ya kushughulikia, watu wa muhimu mliopewa dhamana mnapambana na watukanaji barabarani. Haiingi akilini kosa la kutukana adhabu yake iwe hiyo "chaos" yote iliyotokea hapo.

Kutukana mbona mnatukanwa na wake zenu na waume zenu kila siku majumbani na hamna kitu mnafanya?

Viti vya ofisi za umma vinakaliwa na washamba na malimbukeni!
Punguza hasira kidogo!! [emoji847][emoji847]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Jamani elimishaneni achani majungu.. kiudereva ukiwa barabarani angetakiwa hata kama amehisi amemkosea angetakiwa afanyenini, kw kuwa alikuwa anaelekezwa akishurutishwa kusimama what's could have
 
Ndio kimbilio kwake

Mtambue tu kwamba sio kila mtu ana access na vigogo wa nchi hii

Hapo Kwa hayo mazingira sihitaji access ya kigogo yeyote, dogo mzembe tu. Kwanza ukisikiliza Kwa makini utafundus hitilafu ilishaanza kitambo ndio maana akawa anarekodi. Hauwezi kuanza kurekodi tu bila kuwa na sababu.

Pili, hapo angeweza kunyoonsha akaelekea kituo Cha polisi kama anaona usalama wake uko matatani.

Ila inaonekana alikomaa kutoa simu ndio maana video ameweza kuirusha watu wakaipata. Huenda mjomba wake mbunge alikuja kumtoa.
 
Jamani elimishaneni achani majungu.. kiudereva ukiwa barabarani angetakiwa hata kama amehisi amemkosea angetakiwa afanyenini, kw kuwa alikuwa anaelekezwa akishurutishwa kusimama what's could have
Nenda Polisi Moja kwa Moja. Au ofisi yeyote ya serikali ya mtaa.
Mwanajeshi Hana haki ya kukusimamisha, Hana haki ya kuomba kitsmbulisho na una haki ya kurekodi chochote kama upo kwenye eneo la umma.
 
Back
Top Bottom